TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Taneeco Moshi mjini kitengo cha savey mnajiona kama shirika la baba yenu nimefungua malalamiko mpaka nimeamua kuweka sola kila siku mnadai hamna usafiri mnategemea wateja tufanye majukumu ya shirika au ndio mnasubiri magufuli aongee ndio muanze kumtafuta mchawi acheni kukwamisha juhudi za jpm mama mwenyew na hizi 0754343628 yuko mjini hapo savey anasema tanesco hamna usafiri wateja tugaramie hii ni sawa ?
Dah pole sana mkuu. Kiufupi kanda ya kaskazini kuna URASIMU mkubwa sana, nimeapa nafika kwenda kwa waziri Kalemani, lazima mtu afutwe kazi hapa hamuwezi kunicheleweshea kunifungia mita ya umeme, mwezi mzima ...
 
Taneeco Moshi mjini kitengo cha savey mnajiona kama shirika la baba yenu nimefungua malalamiko mpaka nimeamua kuweka sola kila siku mnadai hamna usafiri mnategemea wateja tufanye majukumu ya shirika au ndio mnasubiri magufuli aongee ndio muanze kumtafuta mchawi acheni kukwamisha juhudi za jpm mama mwenyew na hizi 0754343628 yuko mjini hapo savey anasema tanesco hamna usafiri wateja tugaramie hii ni sawa ?
Tafadhali onyesha namba ya simu yako kwa ufatiliaji na hatua zaidi
 
Ninashangaa sana umeme almost maeneo mengi hapa nchini unakatwa bila maelezo TANESCO imekaa kimya bila kutoa maelekezo sasa nyie ni shirika la vibatari au kandiri?

Sijapenda kwakweli hii tabia inakera na inaudhi. Hapa Dar es Salaam, nimekwenda Arusha, Moshi, Shinyanga, Dodoma, Mbeya, Mtwara hali ni ileile.

Jirekeibisheni hii si sawa.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

FEBRUARI 04, 2021

TAARIFA YA MATENGENEZO KATIKA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA UBUNGO II NA KINYEREZI II

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa tumeanza kufanya matengenezo ya miundombinu ya Umeme katika vituo vya kufua Umeme kwa Gesi Asilia vya Ubungo II na Kinyerezi II.

Kutokana na matengenezo hayo, baadhi ya maeneo nchini yataathirika kwa kukosa huduma ya Umeme kwa nyakati tofauti.

Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na kazi kuhakikisha mashine zinatengemaa haraka.

Tutaendelea kutoa taarifa kadili kazi ya matengenezo inavyoendelea.

Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza

Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kudondoka chini.

Toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu nawe, au wasiliana nasi kupitia namba za simu zifuatazo: - Kitengo cha Miito ya Simu 0222194400 na 0768 985100

Mitandao ya Kijamii :
Website:

www.tanesco.co.tz

Instagram: tanescoyetu

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz,

Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu

Facebook: Tanesco Yetu


Imetolewa na;
OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO MAKAO MAKUU.
 
Dah pole sana mkuu. Kiufupi kanda ya kaskazini kuna URASIMU mkubwa sana, nimeapa nafika kwenda kwa waziri Kalemani, lazima mtu afutwe kazi hapa hamuwezi kunicheleweshea kunifungia mita ya umeme, mwezi mzima ...
Tafadhali onyesha namba ya simu wilaya na tatizo kwa hatua zaidi
 
Kaka hiyo ni kwanzia pugu, majohe, kigogo, mpaka chanika mwisho ,leo ni siku ya 3 hamna umeme kabisa..

Ukitaka kuchaji simu unaenda gmboto[emoji3][emoji3][emoji3] .

Alafu kuna watu wanasimama vifua mbele kabisa na kusema tatzo la umeme halipo Tanzania..

TANESCO mnatia kinyaaaaaaaa....
Tumetatua tatizo samahani sana mpendwa mteja wetu
 
Kwa kawaida mtu akilipia umeme (single phase) inatakiwa afungiwe umeme baada ya muda gani( Dsm)
 
Tafadhali onyesha namba ya simu wilaya na tatizo kwa hatua zaidi
Mobile: 0754323937

Wilaya: HAI - Boma Ng'ombe!

Tatizo: SIJAFUNGIWA UMEME YAPATA MWEZI MMOJA UMESHAISHA NA MALIPO YAMESHAFANYIKA.

Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara Na: 991032295084
Kiasi: 26999.58 TZS
Risiti Na: 921006026785158
Tarehe: 2021-01-06T16:23:00
Kupitia:FH932981609939380
 
Mobile: 0754323937

Wilaya: HAI - Boma Ng'ombe!

Tatizo: SIJAFUNGIWA UMEME YAPATA MWEZI MMOJA UMESHAISHA NA MALIPO YAMESHAFANYIKA.

Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara Na: 991032295084
Kiasi: 26999.58 TZS
Risiti Na: 921006026785158
Tarehe: 2021-01-06T16:23:00
Kupitia:FH932981609939380
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
 
Tatizo:nimelipa gharama za kuunganishwa umeme sijafanikiwa kuunganishiwa umeme

Eneo : Busenga Ilemela Mwanza...
Hii sijapata majibu taarifa zote ulizotaka nilitoa
 
Muda mwingine hawa jamaa wanaomba details ukishawapa hawarudi na majibu wala hawafanyi ufuatiliaji!!
 
Back
Top Bottom