BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Dah pole sana mkuu. Kiufupi kanda ya kaskazini kuna URASIMU mkubwa sana, nimeapa nafika kwenda kwa waziri Kalemani, lazima mtu afutwe kazi hapa hamuwezi kunicheleweshea kunifungia mita ya umeme, mwezi mzima ...Taneeco Moshi mjini kitengo cha savey mnajiona kama shirika la baba yenu nimefungua malalamiko mpaka nimeamua kuweka sola kila siku mnadai hamna usafiri mnategemea wateja tufanye majukumu ya shirika au ndio mnasubiri magufuli aongee ndio muanze kumtafuta mchawi acheni kukwamisha juhudi za jpm mama mwenyew na hizi 0754343628 yuko mjini hapo savey anasema tanesco hamna usafiri wateja tugaramie hii ni sawa ?
Tafadhali onyesha namba ya simu yako kwa ufatiliaji na hatua zaidiTaneeco Moshi mjini kitengo cha savey mnajiona kama shirika la baba yenu nimefungua malalamiko mpaka nimeamua kuweka sola kila siku mnadai hamna usafiri mnategemea wateja tufanye majukumu ya shirika au ndio mnasubiri magufuli aongee ndio muanze kumtafuta mchawi acheni kukwamisha juhudi za jpm mama mwenyew na hizi 0754343628 yuko mjini hapo savey anasema tanesco hamna usafiri wateja tugaramie hii ni sawa ?
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)Ninashangaa sana umeme almost maeneo mengi hapa nchini unakatwa bila maelezo TANESCO imekaa kimya bila kutoa maelekezo sasa nyie ni shirika la vibatari au kandiri?
Sijapenda kwakweli hii tabia inakera na inaudhi. Hapa Dar es Salaam, nimekwenda Arusha, Moshi, Shinyanga, Dodoma, Mbeya, Mtwara hali ni ileile.
Jirekeibisheni hii si sawa.
Tafadhali onyesha namba ya simu wilaya na tatizo kwa hatua zaidiDah pole sana mkuu. Kiufupi kanda ya kaskazini kuna URASIMU mkubwa sana, nimeapa nafika kwenda kwa waziri Kalemani, lazima mtu afutwe kazi hapa hamuwezi kunicheleweshea kunifungia mita ya umeme, mwezi mzima ...
Tumetatua tatizo samahani sana mpendwa mteja wetuKaka hiyo ni kwanzia pugu, majohe, kigogo, mpaka chanika mwisho ,leo ni siku ya 3 hamna umeme kabisa..
Ukitaka kuchaji simu unaenda gmboto[emoji3][emoji3][emoji3] .
Alafu kuna watu wanasimama vifua mbele kabisa na kusema tatzo la umeme halipo Tanzania..
TANESCO mnatia kinyaaaaaaaa....
Mobile: 0754323937Tafadhali onyesha namba ya simu wilaya na tatizo kwa hatua zaidi
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidiMobile: 0754323937
Wilaya: HAI - Boma Ng'ombe!
Tatizo: SIJAFUNGIWA UMEME YAPATA MWEZI MMOJA UMESHAISHA NA MALIPO YAMESHAFANYIKA.
Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara Na: 991032295084
Kiasi: 26999.58 TZS
Risiti Na: 921006026785158
Tarehe: 2021-01-06T16:23:00
Kupitia:FH932981609939380
REF:FB26731610951568Je umelipia lini
Wilaya
Simu
hii sijapata jibu kutoka kwenu( Tanesco)REF:FB26731610951568
umefanikiwa kulipia Bill Number 600 BILL:991032319277 TZS337760.84 RECEIPT:921018028562434 2021-01-18 09:32:48
Hii sijapata majibu taarifa zote ulizotaka nilitoaTatizo:nimelipa gharama za kuunganishwa umeme sijafanikiwa kuunganishiwa umeme
Eneo : Busenga Ilemela Mwanza...
Tafadhalo tuma tena