Hii katakata sasa imezidi. Moshi wanaongoza kwa kukata Umeme hovyo hovyo
 
Kikao kazi cha TANESCO na Wahariri Waandamizi wa vyombo vya habari Tanzania
 
INGEKUWA NI MAMLAKA YANGU....HUU MSHIRIKA WENU UCHWARA NINGEUFUTILIA MBALI NA KUUNDA SHIRIKA JIPYA LENYE WELEDI WA KAZI....MAANA HUKU KIMARA MMEKUWA KERO KUBWA SANA NYINYI,KILA LEO MNAKATA UMEME KWA MASAA MENGI BILA HATA YA KUUTARIFU UMMA NI NINI KINAENDELEA.....MNAUTENDAJI WA HOVYO SANA NA MNAKERA KWELIKWELI...TOKA ASUBUHI MMEKATA UMEME MPAKA MUDA HUU MNATEGEMEA WATU WAFANYE BIASHARA NA MAJUKUMU MUHIMU VIPI.
 
Chamanzi dar es salaam umeme tangu mchana hakuna mpaka hivi sasa na hamkutoa taarifa basi tumieni nafasi hii kutupa apdate ya kinachoendelea

Chriss majengo
Chamanzi kwa mzala
Wilaya temeke
0655780270
 
Njombe.makambako umeme unakatwa bira taarifa kwamfa of kama Leo tunalala giza
 
Njombe.makambako umeme unakatwa bira taarifa kwamfano kama Leo tunalala giza
 
Huu mshirika narudia tena kusema umekiwa TAKATAKA kabisaa.Nyinyi TANESCO NI HOVYO KABISAA...MNATUCHUKULIA WAKAZI WA KIMARA KAMA MAFALA HIVI YAANI MNAKATA UMEME NA KURUDISHA KILA MNAPOJISIKIA.....MNAKERA SANAAA NA KUKWAZA😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠😠
 
Mbona mnakata umeme kwa muda mrefu bila ya kutoa taarifa
 
Tanesco kama nguzo ni bure inakuwaje wengine walipe gharama za 521,000/= na wengine 321,000/= kuunganishiwa umeme?
 
Tanesco kama nguzo ni bure inakuwaje wengine walipe gharama za 521,000/= na wengine 321,000/= kuunganishiwa umeme?
Mteja halipii nguzo wala mita bali analipia kiasi halisi cha kufungiwa umeme hivyo wa vijijini wote ni Tsh 27000 na mijini gharama ni zile zile
 
Tangazeni mgao, msione aibu ili wananchi tujue tuweze kujipanga. Mnachofanya ni kuficha kinyesi kwa ungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…