King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mteja halipii nguzo wala mita bali analipia kiasi halisi cha kufungiwa umeme hivyo wa vijijini wote ni Tsh 27000 na mijini gharama ni zile zile
Hivi Tanesco kuna mgao unaendelea nchini au?ndugu mteja,
TANESCO hatuuzi nguzo, gharama unayopewa ni kwa ajilii ya kuunganishiwa umeme kutokana na umbali uliopo na sehemu ya mwisho ambapo umeme umeisha
Huku Arusha ni mgao wa umeme au kitu gani? Tunaomba taarifa tujue. Kila siku mnakata umeme asubuhi mnarudisha usiku.ndugu mteja,
TANESCO hatuuzi nguzo, gharama unayopewa ni kwa ajilii ya kuunganishiwa umeme kutokana na umbali uliopo na sehemu ya mwisho ambapo umeme umeisha
Wakikujibu nitagHivi Tanesco kuna mgao unaendelea nchini au?
Subiri jibu lao rahisi tu la tunatengeneza mitambo yetu.Huku Arusha ni mgao wa umeme au kitu gani? Tunaomba taarifa tujue. Kila siku mnakata umeme asubuhi mnarudisha usiku.
Sawa mkuu.Wakikujibu nitag
Basi tupewe taarifa jamani, mtu uamke ukijua leo hakutakuwa na umeme na pia tuelezwe inachukua muda gani.Subiri jibu lao rahisi tu la tunatengeneza mitambo yetu.
Tanesco inaangazia maisha yako.
Naomba mrudishe umeme hapa arusha angalau kwa dakika 10 nipasi chap nguo zangu then muendelee na mgao wenu.ndugu mteja,
TANESCO hatuuzi nguzo, gharama unayopewa ni kwa ajilii ya kuunganishiwa umeme kutokana na umbali uliopo na sehemu ya mwisho ambapo umeme umeisha
Wakikujibu watakuambia tutumie namba yako ya simu.Jamani Tannesco toeni basi ratiba ya mgao ,huku mbezi Beach ndio umerudi saaa moja .Tuambieni basi kesho mnakata maeneo gani ili tuamishe majeshi huko tufanye kazi
ndugu mteja, hakuna mgao ni matengenezo. pole sana kwa usumbufu unaopataJamani Tannesco toeni basi ratiba ya mgao ,huku mbezi Beach ndio umerudi saaa moja .Tuambieni basi kesho mnakata maeneo gani ili tuamishe majeshi huko tufanye kazi
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)Temeke huku juzi kutwa nzima umeme umerudi saa nne usiku, jana pia kutwa nzima ukarudishwa sijui saa mbili usiku ila hiyo haitoshi kwenye saa saba usiku umekatika tena mpaka saa kumi alfajiri na hili joto la Dar aisee halafu bila hata taarifa sasa, TANESCO mnayaangaza maisha yapi?
Toeni ratiba ya mgao kutokana na hayo matengenezo mbona ni kitu rahisi tu.SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
MACHI 01, 2021
TAARIFA YA MATENGENEZO KATIKA VITUO VYA KUZALISHA UMEME KWA GESI VYA SONGAS NA UBUNGO II
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa tunaendelea kufanya matengenezo ya miundombinu ya Umeme katika vituo vya kufua Umeme kwa Gesi Asilia vya Songas na Ubungo II.
Kutokana na matengenezo hayo, baadhi ya maeneo nchini yataathirika kwa kukosa huduma ya Umeme kwa nyakati tofauti.
Wataalamu wetu na mafundi wanaendelea na kazi kuhakikisha mitambo inatengemaa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadili kazi ya matengenezo inavyoendelea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au kudondoka chini.
Toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu nawe, au wasiliana nasi kupitia namba za simu zifuatazo: - Kitengo cha Miito ya Simu 0222194400 na 0768 985100
Mitandao ya Kijamii :
Website:
www.tanesco.co.tz
Instagram: tanesco_official_page
Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz,
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook: Tanesco Yetu
Imetolewa na;
OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO MAKAO MAKUU.
Naweka msisitizo hapaToeni ratiba ya mgao kutokana na hayo matengenezo mbona ni kitu rahisi tu.
Mfano kuanzia muda fulani umeme utakatika maeneo xyz. Tujipange.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]ndugu mteja, hakuna mgao ni matengenezo. pole sana kwa usumbufu unaopata