King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mteja halipii nguzo wala mita bali analipia kiasi halisi cha kufungiwa umeme hivyo wa vijijini wote ni Tsh 27000 na mijini gharama ni zile zile
Swali langu ni kuwa kuna baadhi ya wateja wa mijini kama ni service line tu wanalipia 321,000/= kuunganishwa ila kama inahitajika kuongeza nguzo moja mpaka kwenye nyumba basi unalipia 521,000/= sasa ndio maana nikauliza kama nguzo ni bure why kuwe na fedha tofauti? Hiyo laki 2 iliyoongezeka ni Gharama za nyaya zilizoongezeka kwa ajili ya kuongeza nguzo au kuilipia nguzo?