TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mimi ni mteja mpya.

Nimepimiwa ( Surveyor mwezi wa 10 mwaka jana nimesubiri simu yenu kimya mbaka nimeamua kuja mwenyewe TANESCO mwezi wa 1
Nimekutana na msamiati mpya andika barua ya kuomba kulipia service line ya nguzo 1.

Nimeandika barua na kisha kikapewa gharama za malipo nimelipa service line ya nguzo toka mwezi wa 1
Nimekaa miezi 7 ndio nimeletewa nguzo

hivi sasa ninavyo ongea hapa nina miezi 2 nguzo imelala chini sioni huduma yeyote ya kuunganishiwa umeme

hapa hisia zangu ninashawishika nitumie vishoka kitu ambacho sikitaki
ebu nambieni TANESCO lini mtanifungia umeme

Nipo Bunju A kanda ya kaskazini
Mkoa wa Dar es salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mteja mpya
Nimepimiwa ( Surveyor mwezi wa 10 mwaka jana nimesubiri simu yenu kimya mbaka nimeamua kuja mwenyewe TANESCO mwezi wa 1
Nimekutana na msamiati mpya andika barua ya kuomba kulipia service line ya nguzo 1
Nimeandika barua na kisha kikapewa gharama za malipo nimelipa service line ya nguzo toka mwezi wa 1
Nimekaa miezi 7 ndio nimeletewa nguzo
hivi sasa ninavyo ongea hapa nina miezi 2 nguzo imelala chini sioni huduma yeyote ya kuunganishiwa umeme
hapa hisia zangu ninashawishika nitumie vishoka kitu ambacho sikitaki
ebu nambieni TANESCO lini mtanifungia umeme
Nipo Bunju A kanda ya kaskazini
Mkoa wa Dar es salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba jina ulilolipia na namba yako ya simu mpendwa mteja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini swala la Mtwara hamtaki kujibu kila siku mnakata umeme tena ovyo ovyo zaidi ya mara 7 sasa huu mwezi wa nne tunaelekea mkiulizwa mtoe jibu mnaomba namba ya simu ya nini sasa badala mseme tatizo ni nini? na zaidi ikifika tu saa mbili usiku mnakata wakati tunasubiria kuangalia taarifa ya habari mnaboa sana tena sana.
 
Hivi kwanini swala la Mtwara hamtaki kujibu kila siku mnakata umeme tena ovyo ovyo zaidi ya mara 7 sasa huu mwezi wa nne tunaelekea mkiulizwa mtoe jibu mnaomba namba ya simu ya nini sasa badala mseme tatizo ni nini? na zaidi ikifika tu saa mbili usiku mnakata wakati tunasubiria kuangalia taarifa ya habari mnaboa sana tena sana.
Mpendwa mteja
Mtwara ni mkoa mkubwa wenye wilaya nyingi hivyo tunapokuamba taarifa ya eneo lako na mawasiliana yako inatupatia nafasi kulifanyia kazi .ushirikiano wako ni muhimu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni ufafanuzi wenu iv ni kweli cc wenye matumizi madogo yaan taarif 4 pindi zinapokuwa zinabaki kila mwezi na kufikia zaidi ya unit 150 huwa mnazichukua na kubakiza kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magomeni karibu na mangowela
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.

NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)


TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA.

NDUGU WAPENDWA WATEJA WETU MNAOTOA TAARIFA KUPITIA MITANDAO YETU YA KIJAMII TUNAWAOMBA MZINGATIE YAFUATAYO ILI KURAHISISHA UFAFANUZI NA UFUMBUZI WA TATIZO AU TAARIFA HUSIKA

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)


TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichogundua hapa sio kabisa hivi kama nyie Tanesco mnashindwa kuwauliza wenzio kweli sisi tutapataje taarifa sahihi.umeme uwezi kukatika kwangu pekee nisigundue acha uongo kwangu si kisiwa, na pia miezi 4 sasa hili tatizo lipo alafu mnaleta ngonjera humu khaa ......
 
Pongezi kwangu tanesco

Baada ya juzi kuja na malalamiko yangu humu ndani nikiwa nimenuna kweli kweli leo natoa pongezi zangu za dhati kwa kupewa stahiki yangu ya huduma ya umeme

Ninapoandika uzi huu dk 15 nyuma nimetoka kuwekewa umeme

Mungu awabariki na nawatakia majukumu mema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pongezi kwangu tanesco

Baada ya juzi kuja na malalamiko yangu humu ndani nikiwa nimenuna kweli kweli leo natoa pongezi zangu za dhati kwa kupewa stahiki yangu ya huduma ya umeme

Ninapoandika uzi huu dk 15 nyuma nimetoka kuwekewa umeme

Mungu awabariki na nawatakia majukumu mema

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuhh, asante kwa shuhuda mkuu! Kuna watu wanalalamika lakini wakishasikilizwa hawarudi tena hapa ku-acknowledge!

Big up sana TANESCO
 
Juzi nimekasirika sana baada ya kwenda tanesco na kuchukua savea mita kama 30 kutoka kwangu umeme upo.

Jamaa hata kushuka kwenye gari hajataka kaniambia hatupimi nguzo huku subiri mradi ukija, sa nawauliza tanesco mnatusaidia au ni biashara mnafanya, sawa nakubali Kuwa mradi utakuja ila Kwa Muda huu mkituunganishia umeme uliopo kabla ya huo mradi hamwoni Kuwa iko faida mngepata?

Au kuendesha shirika Kwa mazoea na siasa?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
TANESCO wakati wa kampeni DAR mpya iliyofanywa na RC Makonda mlitoa ahadi kuwa mtaleta umeme huko mtaa wa Zavala kata ya Buyuni by Mei 2017.

Leo Agost 2017 hakuna dalili isipokuws kwa watu wenye uwezo wa kujinunulia nguzo na kutoa cha juu. Je mlimuongopea RC Makonda siku ile ya mkutano
 
  • Thanks
Reactions: ADK
TANESCO wakati wa kampeni DAR mpya iliyofanywa na RC Makonda mlitoa ahadi kuwa mtaleta umeme huko mtaa wa Zavala kata ya Buyuni by Mei 2017. Leo Agost 2017 hakuna dalili isipokuws kwa watu wenye uwezo wa kujinunulia nguzo na kutoa cha juu. Je mlimuongopea RC Makonda siku ile ya mkutano
Mkuu na wewe habari za Bashite humu za nini?
 
Back
Top Bottom