Apo mkuu ndo ushapandishiwa biri kajipangeNanunua umeme inakataa inarudisha ujumbe kuwakilisha there are pending key change needed to be printed, nini tatizo?
Mkuu acha utani bhana, ujue kwa hali hiyo sio ya kutishiana maisha ujueApo mkuu ndo ushapandishiwa biri kajipange
Sasa afadhali TANESCO wamesikia kilio chetu kariakoo leo ni siku kadhaa umeme haujakatikaHuku Maeneo ya Ukonga hasa Pugu kajiungeni,,mbona umeme unakatikatika hovyo hovyo hasa masaa ya jioni? halafu unakuta mtaa mwingine unawaka mtaa mwingine haupo.huu sasa ni mwezi wa sita.Halafu siku hizi hata taarifa hakuna kutolewa tena.
Biashara zetu zimeathirika pakubwa hatuwezi fanya malipo ya kodi ya mapato.
Ukiwapigia hao jamaa wa Tanesco Kisarawe unaambulia story tuu
Ni kweli hata mm imenitokea juzi kati mala nanunua luku meseji zinarudi nikaambiwa niwapigie tanesco kupata key change,c nikawapgia nkatumiwa hizo namba kununua umeme nkakuta nmepandishiwa bill maana mwanzo nilikuwa napewa unit 16.4 kwa 2000 lakini kwa Sasa napewa unit 5.7 kwa 2000 fikilia mkuu kutoka 16 mpaka 5 ni balaa stay tuned mkuuMkuu acha utani bhana, ujue kwa hali hiyo sio ya kutishiana maisha ujue
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidiHuku Maeneo ya Ukonga hasa Pugu kajiungeni,,mbona umeme unakatikatika hovyo hovyo hasa masaa ya jioni? halafu unakuta mtaa mwingine unawaka mtaa mwingine haupo.huu sasa ni mwezi wa sita.Halafu siku hizi hata taarifa hakuna kutolewa tena.
Biashara zetu zimeathirika pakubwa hatuwezi fanya malipo ya kodi ya mapato.
Ukiwapigia hao jamaa wa Tanesco Kisarawe unaambulia story tuu
Hata hawajanisikia, bado wanaendeleza mgao wao
Tafadhali onyesha namba ya simu uliyoandika kwenye fomu yako ili tuweze kuona taarufa zakoTanesco Buseresere chato.
Nimelipia umeme toka mwezi wa 12 mwaka jana. Transfomer ipo uwanjani kwangu. Kuunganishwa tu imekua shida. Eneo nililopo ni buseresere mapinduzi
Leo saa 2 tumeanza tu kuangalia habari umekatika mpaka sasa saa 3 hii bado hamna kitu, kulikoni wadau wa TANESCO?!Tanesco mmekata umeme wakati tunataka tuone tukio la kuapishwa kwa rais