kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,060
TANESCO hebu tufanyieni msaada watu wa Kimara mwisho na hili tatizo la kukatikakatika umeme jamani.
Mbona sehemu nyingine tunakwenda tunakaa wiki hadi mwezi umeme haukatiki na mvua zinanyesha nyingi tu?
Kwanini hamzingatii malalamiko ya wateja mrekebishe vitu tusikae tunalalama muda mrefu hivi?
Tatizo la kukatika umeme Kimara mwisho ni sugu mno jamani embu lifikisheni mwisho hili tatizo.
Hapa naandika tangu juzi mvua ikianza tu mnazima umeme.
Leo hata mvua hakuna mmezima umeme.
Miezi mingine isiyo na mvua nayo bado unakatika.
Kimara tumewakosea nini Tanesco?
Mbona sehemu nyingine tunakwenda tunakaa wiki hadi mwezi umeme haukatiki na mvua zinanyesha nyingi tu?
Kwanini hamzingatii malalamiko ya wateja mrekebishe vitu tusikae tunalalama muda mrefu hivi?
Tatizo la kukatika umeme Kimara mwisho ni sugu mno jamani embu lifikisheni mwisho hili tatizo.
Hapa naandika tangu juzi mvua ikianza tu mnazima umeme.
Leo hata mvua hakuna mmezima umeme.
Miezi mingine isiyo na mvua nayo bado unakatika.
Kimara tumewakosea nini Tanesco?