kendakubonaontwale
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 201
- 25
TANESCO LINI MTANDAO UTAREJEA? NINA SIKU YA TATU SASA SINA UMEME ,MITA IMETEMPLE NIMETUMIWA NO ZA KU CLEAR KILA NIKIWEKA NAAMBIWA REJECTED(SIKU YA TATUU HII). MAFUNDI WA TANESCO WAMEKUJA WANATOA MAJIBU SIMPLE "SYSTEM IPO CHINI IKIKAA SAWA TUTAKUTUMIA NO ZINGINE UWEKE"[emoji3166]HIYO SYSTEM INARUDISHWA LINI?Tunafanyia kazi tafadhali
Hata namba za simu mnazotuwekea hazipokelewi mnaweka za nn sasaSHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya kijamii
Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu
Facebook Tanesco Yetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 18, 2021.
asanteHuduma imerejea tafadhali
Si mlisema aende zakeUMEME HAUPO DAR NZIMA HUWEZI KUNUNUA KWA SIMU WALA KWA MAWAKALA
DAR IMESIMAMA
Muda huu natoka TANESCO makao makuu ya Mkoa wa MWanza, kompyuta wapo wanachezea game la karata maana mfumo wa kuuza umeme hakuna, asante sana kwa kuihujumu nchi!
Ngoja nivute pumzi kwanza ili nipoze hasira....nimepata sehemu ya kuhifadhi vyakula vyangu visioze kwenye friji...(kwa jirani)
Jamani Mama Samia Rais wetu mpendwa, unawategemea watendaji wako ndio wakupe taarifa kuhusu nchi yako eti? Kwa taarifa yako mtangulizi wako alikuwa na informers wengi nje ya system ya kawaida....
Mnafanyia kazi gani nyie wapumbavu??tangu juzi?hii ni karne ya 21!!mmeturudisha nyuma wajinga nyie!! samaki wote wameoza nyama yote imeoza!!nyie ni wapumbavu sana narudia tena nyie ni wajinga sana!!Tunafanyia kazi tafadhali
Ni nchi nzima mkuu, kama una akiba ya unit kwenye meter yako jitahidi uzime vifaa na taa za ziada maana hakuna anayejua hili tatizo litatatuliwa lini, labda wadukuzi waliodukua bomba la mafuta la huko USA wameelekeza mashambulizi yao Tanzania!Kwa hiyo ina maana ni nchi nzima umeme haununuliki waziri mwenye dhamana na shirika amelala usingizi mpaka rais tumekwisha.
Oya nimeunganisha umeme Direct kwanguJe unaongelea kijiji gani? TAFADHALI tambua huduma ya usambazaji wa umeme maeneo ambayo haujafika inaenda kwa awamu hivyo vijiji ambavyo havijapata vitafikiwa mwa awamu zijazo.Jm
Miamala ya Luku inagoma!Tatizo nini?asante tumelipokea na tutalifanyia kazi
wanataka kutufanyia uhuni kama wa enzi za ngereja wananchi tusikubaliMpango wa kuuza magenerator naona unafanikiwa kwa kasi