kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
nashangaa tanesco wameshindwa kuwa na backup jamani kwamba system hii ikifeli tunawasha hii yani tuko kwenye ujima kama miaka ya 1960s hukoKwa hiyo ina maana ni nchi nzima umeme haununuliki waziri mwenye dhamana na shirika amelala usingizi mpaka rais tumekwisha.