Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee venezuela kibokoInatagemeana na meneja wa ene na mkadiliaji wa hasara wameamukaje au wana hasara ya sh. Ngapi kwenye eneo lao, ili iwasaidie kuziba mapengo ya upotevu walioufanya. Kifupi tunakujumulishia na vimeo vingine ili unaweza ukawa umetumia unit mia 500 tunakuambia umetumia unit milion zote ili uwe muhujumu uchumi kwelikweli mpaka nchi nzima ijue wewe ndo ulichangia tukachelewa kufika uchumi wakati tunakupeleka mahakamani na eskoti ya magari ya police sita kama kuna sehemu tulipiga hela basi tunakuunganishia humohumo
NB: hii ni kwa nchi ya VENEZUELA sijui kwa TANZANIA msinikoti vibaya
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
Atalala giza weekend nzimaTangu Jana inasumbua kwa simu nenda tanesco iliyokaribu ukanunue
Aende kwa mawakala wa tanesco wakubwa wa kuuza umemeAtalala giza weekend nzima
Mbona Jana mi nimenunua SAA kumiLUKU naona kama imerudi kama juzi, najaribu kununua inakataa, au ni kwangu pekee?
Vipi nyie huko?
Kwa madai yao Jana saa 7 😂😂😂, kwenye ule uzi walijibuWahuni wamelishughulikia lini yule jamaa amerusha video jana,
TANESCO hiyo hitilafu haijaisha tangu ijumaa?SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KATIZO LA DHARURA WILAYA YA KIMARA
Wapendwa wateja wetu tunasikitika kuwataarifu kwamba mnakosa huduma ya Umeme kuanzia saa 02:25 Asubuhi hii ya tarehe 21/05/2021
MAENEO YANAYOATHIRIKA
King'ong'o, Matosa, Kimara Baruti, Kimara B, baadhi ya maeneo ya Temboni, Kibanda cha mkaa, Mbezi, Tegeta A, Baadhi ya maeneo ya Goba, Msumi, Makabe, baadhi ya maeneo ya Stop over, Suka na maeneo ya Jirani.
Hii ni hitilafu ya dharura ambayo imejitokeza kwenye njia yetu ya kusafirisha Umeme hivyo wataalamu wetu tayari wanafanya jitihada za haraka kubaini chanzo na kuhakikisha huduma inarudi kwenye hali yake ya kawaida
KWA HUDUMA ZA DHARURA PIGA SIMU:- 0717379696, 0788379696
Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote unaojitokeza
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano na Huduma kwa wateja
TANESCO- Kimara
21/05/2021
Mmerudi baada ya kupotea muda murefuAhsante mwa taarifa mpendwa mteja wetu
Hapa huku tunashindwa kununua luku sijui tanesco wanamalengo gani hata kama sisi wanyonge ndo mtutese hvyo mnakelaaaa sana sijui mnakaa maofisini mkisubr mishahara ya bule wakati hamfanyi kazi hebu jitafakalini na waziri mwenye dhamana na hili swala sijui anatuwazia nn siwaelewi kabisaSiku ya Leo mmenitesa Sana na mmenilaza njaa! Yaani nimenunua token za sh. 100000/= kupitia account ya nmb nikazipata. Kuangalia salio nakuta mmekata sh. 100000/= nyingine bila Mimi kucommand na token na sms hamkurudisha Hadi nilipowapigia nmb wakanirejesha kwenu na ninyi mkakiri kukata hiyo pesa Mara mbili na kunitumia token zinginezo ambazo sikuzihitaji!
Hii tabia ya watu wenu wa IT kuzama kwenye account za watu na kulazimisha kununua umeme ambao mteja hakuuhitaji siyo sawa. What if Kama kwenye account kungekuwa hakuna pesa, mngefanya the same kunipa token hizo?
Kweli nimekwazika mno na kwa kuwasina la kuwafanya Basi sawa! Na Kama mfumo wenu wa luku unaiba kwenye account za wateja Basi toeni taarifa!