Ni rahisi mnoTANESCO HABARI Nmefuta bahati mbaya luku token Sijaiingiza naomba msaada namna ya kuirudisha
Huo mkoa Kwa ufupi upo nyumaHIVI TANESCO KIGOMA KUNA TATIZO GANI
Kwakweli ni jambo la kusikitisha vile nishati ya umeme ni kitendawili katika mkoa huu wa kigoma. Yaani tanesco kama hawajui wanafanya nini. Umeme unawaka nusu nusu mara siku nzima ni giza yaani tabu tupu. Leo tangu asubuhi hakuna umeme na mpaka sasa haujarudi. Huu mkoa upo nyuma sana yaani.
Mji mzima hatulipi na hata ofisi zao nazo!?Hamlipi mpaka mkatiwe
Asante kwa taarifa njemaKuna transformer imepata shida huko, waziri husika ameshawaagizia nyingine toka Dodoma.
Mbona Waziri aliwapa siku 4 na wakaahidi kurudisha hali ya umeme kuwa sawa??Morogoro mwezi huu mwanzoni palitokea ajali ya moto katika substation ya Msamvu.
Hivyo mpaka sasa mnapata umeme kutoka substation ya Chalinze na mafuni wapo kazini kujenga HT kuunga feeder za Kidatu na Kilosa ili Moro mjini mpate umeme wa uhakika.
Mafundi wapo site porini Mikumi huko week ya pili sasa.
Taarifa ninazo toka chanzo chakuaminika.