manwest1
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 225
- 135
HIVI TANESCO KIGOMA KUNA TATIZO GANI
Kwakweli ni jambo la kusikitisha vile nishati ya umeme ni kitendawili katika mkoa huu wa kigoma. Yaani tanesco kama hawajui wanafanya nini. Umeme unawaka nusu nusu mara siku nzima ni giza yaani tabu tupu. Leo tangu asubuhi hakuna umeme na mpaka sasa haujarudi. Huu mkoa upo nyuma sana yaani.
Kwakweli ni jambo la kusikitisha vile nishati ya umeme ni kitendawili katika mkoa huu wa kigoma. Yaani tanesco kama hawajui wanafanya nini. Umeme unawaka nusu nusu mara siku nzima ni giza yaani tabu tupu. Leo tangu asubuhi hakuna umeme na mpaka sasa haujarudi. Huu mkoa upo nyuma sana yaani.