Tanesco mbona ile hali ya kukatika mara kwa mara ya umeme tena kwa muda mrefu imeanza kurudi na tulikwisha isahau? Muna kwama wapi sasahivi ambapo Mwaka jana au Mwanzo wa Mwaka huu muliweza?
Tunashindwa kufanya kazi zetu sababu ya kukosa umeme , biashara hazifanyiki , watu hawasomi nk
Tunashindwa kufanya kazi zetu sababu ya kukosa umeme , biashara hazifanyiki , watu hawasomi nk