Ebu tupeni maelekezo mteja anataka kufungua kiwanda kidogo cha matofari anahitaji three phase na nguzo kama 3 nn kifanyike ili apate huduma hii mapema maana nimzunguko husiokuwa na afya
Hii ipo kimala temboni
Nadhani ntapata majibu kupitia hapa
Hili swali lako subiri aje hapa baada ya kukujibu ataanza kukuambia utume deatils zako ndio utajuwa hawapo serious kabisa
 
Ebu tupeni maelekezo mteja anataka kufungua kiwanda kidogo cha matofari anahitaji three phase na nguzo kama 3 nn kifanyike ili apate huduma hii mapema maana nimzunguko husiokuwa na afya
Hii ipo kimala temboni
Nadhani ntapata majibu kupitia hapa
Tafadhali tambua taratibu za kuomba umeme ni zile zile kama ifuatavyo

1. Hakikisha miundombinu ya umeme imekufikia

2.Kamisha wiring ( mtandao wa nyaya kwenye sehemu husika)

3.Chukua form ya maombi ya awali

4.jaza sehemu zako mpe na mkandarasi wako ajaze na kuweka mchoro na muhuri

5.Rudisha form TANESCO

6.Wataalamu wetu watafika kupima eneo husika kujua utahitaji nini kufungiwa umeme

7.Utapatiwa gharama halisu ya makadirio ambayo itaambatana na control number

I.Utalipia na kusubiri kufungiwa


Zingatia.

Kwa wateja waliopo nje ya mita 120 wanapaswa kusumbiri miundombinu ya umeme isogezwe ili waweze kulipia bei halisi.
 
Tanesco Kuna tatizo gani Kijiji kamaishango kata ikondo wilaya Muleba mkoa Kagera hatuna umeme tangu Jana usiku na tanesco wamelala tu hatuoni kinachoendelea mtusaidie jamani wakuu tunalala gizani
 
Tanesco mna tatizo gani? Nanunua umeme naambaiwa nadaiwa Kodi ya jengo wakati tangia nianze kununua umeme mwezi wa 8 nakatwa kuanzia Kodi ya mwezi wa 7?hapa wanataka ninunue umeme wa kuanzia elfu 6 ili wakate elfu 4 ambayo tayari nilishakatwa.
 
Maeneo ya kata ya Segese, Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga watu wamelipia control number tangu mwezi wa Saba/nane lakini hadi leo hawajaja kuungasha umeme kwa watu. Baada ya kuona hivo wananchi wanatoa rushwa na kujipendekeza ili wawashiwe, na mtu akitoa hiyo pesa anawashiwa umeme. Hapa shirika halitendi sawa !

Jijini Mwanza, wilaya ya ilemela, kata ya nyamhongoro, maeneo ya nyamadoke, watu wanatoa pesa pia ili ndo wawekewe nguzo na kuletewa umeme. Bila hivo, umeme haupelekwi. Tanesco, kuna shida gani mpaka hali inakuwa hivo?
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Tanesco mna tatizo gani? Nanunua umeme naambaiwa nadaiwa Kodi ya jengo wakati tangia nianze kununua umeme mwezi wa 8 nakatwa kuanzia Kodi ya mwezi wa 7?hapa wanataka ninunue umeme wa kuanzia elfu 6 ili wakate elfu 4 ambayo tayari nilishakatwa.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Tanesco Kuna tatizo gani Kijiji kamaishango kata ikondo wilaya Muleba mkoa Kagera hatuna umeme tangu Jana usiku na tanesco wamelala tu hatuoni kinachoendelea mtusaidie jamani wakuu tunalala gizani
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Habari za wakati huu!!!!? Na0mba kujua, nini mpang0 wa serikali ya Tanzania kuruhusu shirika la Umeme(Tanesc0) kuingiza makat0 ya shilingi 1000/= kila mwezi kwa njia ta LUKU ikiwa ni malip0 ya t0z0 ya k0di kwa kila kaya?

Na je k0di z0te za nyumba ziliz0 lipwa tarehe m0si Julai kwa njia ya ki-electr0nic yaani M-pesa, tig0 pesa, Hal0 pesa, Airtel M0ney pam0ja na account za malip0 za Nati0nal H0using C00perati0n ni lini zitarejeshwa kwa watanzania amba0 wengi wa0 huyahangaikia matumb0 ya0 kwa kujishughulisha na vijikazi vyenye mishahara duni ili kukidhi mahitaji ya0 ya kila siku?
 
Mgao wa umeme tena Kinondoni, du!!! Tangi asubuhi hadi sasa 15:18 hakuna umeme.

Kila la kheri viongozi wapya wa TANESCO (Waziri. Bodi ya Wakurugenzi, na Menejementi). Hakika mnaupiga mwingi[emoji848]
 
Mgao wa umeme tena Kinondoni, du!!! Tangi asubuhi hadi sasa 15:18 hakuna umeme.

Kila la kheri viongozi wapya wa TANESCO (Waziri. Bodi ya Wakurugenzi, na Menejementi). Hakika mnaupiga mwingi[emoji848]
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)

09/10/2021

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KASKAZINI

Shirika la Umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Kinondoni Kaskazini linawataarifu kuwa kutakuwa na katizo la umeme katika laini ya MIKOCHENI 6 (MK6) na baadhi ya maeneo katika Laini ya MWENGE kama ifuatavyo;

Siku Jumatatu Tarehe 11-10-2021

Muda Saa 03:00 Asubuhi hadi 10:00 Alasiri.

Sababu Kufanya matengenezo kwenye laini pamoja na kubadilisha nguzo za miti na kuweka nguzo za zege ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Kiwanda vya Tanpack Tissue, ITV na Radio One, Ngome Saccos sinza, Maeneo ya Sinza A, Bamaga, Mapambano, Mori, Afrika sana, Makaburini, Radio Maria, Kota na Chuo na cha ustawi wa jamii, Hospitali ya Maria Stopes, Hoteli za Wanyama na Kebbys, Kota za BOT, Hongera Bar, Kota za Chuo kikuu cha Dar es salaam, Maeneo ya Meeda bar na Blue bird, Mtaa wa Kwa Ikangaa, Kijitonyama kwa Mwarabu, Polisi mabatini Mwenge zahanati, Ghorofa za jeshi Mwenge, Mwenge sokoni, Mwenge bodi ya mikopo ya zamani, Hospital ya Mama Ngoma, Mwenge TRA, Maeneo ya Maryland bar pamoja na maeneo ya jirani.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tahadhari
Usikanyage wala kugusa waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kwa simu na.zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Kinondoni Kaskazini
0784768584/0716768584


Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KINONDONI KASKAZINI
 
Hatimaye umeme umerudishwa muda huu saa 1¾ usiku na siyo saa 10 jioni.

Kazi iendelee[emoji2960]
 
Chalinze kwa mzee baba shule ya secondary MORETO umeme hawana
Watoto wanapata tabu jamani
Naomba kama ikiwapendeza wapeni umeme
 
Chalinze kwa mzee baba shule ya secondary MORETO umeme hawana
Watoto wanapata tabu jamani
Naomba kama ikiwapendeza wapeni umeme
Je haujafika au umekatika? Je Wamewahi kufanya maombi ya umeme?
 
Hakuna hata ndoto ya kupelekewa umeme
Achana na biashara ya kukatika umeme
Umeme swala wapelekewe umeme wa
TANESCO
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…