TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mimi naambiwa nimpe surveyor elfu 50, hii imekaaje.. surveyor si analipwa na ofisi kwa maan hii Ni kazi na jukumu linalimfanya alipwe.. iweje nimlipe Mimi?!
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Mi nina malalamiko.
1. Nimeleta barua ya kuhamishiwa nguzo ambayo watu wenu wamekuja kumfungia jirani yangu umeme wakapitisha waya juu ya paa langu. Nimeandika barua na kuileta kwenu kupitia serikali ya mtaa, tangu mwezi wa 9 lakini mpaka leo sijashughulikiwa.
Mi naishi Msongola nyuma ya kituo cha watoto yatima.

Hiyo nguzo ikihamishwa si tu itaondoa waya juu ya paa langu lakini pia hata majirani wengine wanaweza kuvuta umeme kupitia hiyo. Namba yangu (ambayo kwenye barua pia ipo) ni 0714 520 882.

2. Nimelipia umeme tangu tarehe 02/09/2021 pale Gongo la mboto nikaambiwa ndani ya mwezi nitafungiwa. Lakini mpaka leo ni zaidi ya mwezi sijafungiwa!

Naomba mnisaidie kwa hayo, kama hamuwezi nijue naenda kutafuta msaada wapi, maana kama binadamu unapoleta malalamiko na ukakaa muda mrefu usipate response yoyote hutajisikia vizuri. Najua kazi ni nyingi lkn hata response ya simu hakuna
 
Mi nina malalamiko.
1. Nimeleta barua ya kuhamishiwa nguzo ambayo watu wenu wamekuja kumfungia jirani yangu umeme wakapitisha waya juu ya paa langu. Nimeandika barua na kuileta kwenu kupitia serikali ya mtaa, tangu mwezi wa 9 lakini mpaka leo sijashughulikiwa.
Mi naishi Msongola nyuma ya kituo cha watoto yatima.
Hiyo nguzo ikihamishwa si tu itaondoa waya juu ya paa langu lakini pia hata majirani wengine wanaweza kuvuta umeme kupitia hiyo.
Namba yangu (ambayo kwenye barua pia ipo) ni 0714 520 882.

2. Nimelipia umeme tangu tarehe 02/09/2021 pale Gongo la mboto nikaambiwa ndani ya mwezi nitafungiwa. Lakini mpaka leo ni zaidi ya mwezi sijafungiwa!!
Naomba mnisaidie kwa hayo, kama hamuwezi nijue naenda kutafuta msaada wapi, maana kama binadamu unapoleta malalamiko na ukakaa muda mrefu usipate response yoyote hutajisikia vizuri. Najua kazi ni nyingi lkn hata response ya simu hakuna
Asante kwa taarifa tunaomba uvumilivy wako tuzifanyie kazi, kuhusu kufungiwa umeme ni kweli wamelipia wateja wengi ambao wamepelekea tuwafungie kwa mfumo wa wa kwanza kulipia wa kwanza kufungiwa hivyo tutakufikia
 
Hivi mkisema mnataka ushauri maana yake nini kwenye kufungiwa umeme kuna ujinga mwingi wa wafanyakazi kutengeneza mazingira ya rushwa kama mdau alivyoshauri kubandika majina ya waombaji umeme na tarehe husika kwa wanaohitaji nguzo na wasio hitaji nguzo hii itapunguza rushwa na kuuliza kila wakati haiwezekani mtu unalipia mwanzo halafu anaelipia za karibu afungiwe hili shirika mnatengeneza mianya ya rushwa kwa wafanyakazi wenu na mnajua kabisa wanakula rushwa
Vicent Daudi
Nimelipia tar 15/09/2021
Mbezi Luis
0657230449
 
Hivi mkisema mnataka ushauri maana yake nini kwenye kufungiwa umeme kuna ujinga mwingi wa wafanyakazi kutengeneza mazingira ya rushwa kama mdau alivyoshauri kubandika majina ya waombaji umeme na tarehe husika kwa wanaohitaji nguzo na wasio hitaji nguzo hii itapunguza rushwa na kuuliza kila wakati haiwezekani mtu unalipia mwanzo halafu anaelipia za karibu afungiwe hili shirika mnatengeneza mianya ya rushwa kwa wafanyakazi wenu na mnajua kabisa wanakula rushwa
Vicent Daudi
Nimelipia tar 15/09/2021
Mbezi Luis
0657230449
Tumepokea taarifa tutakufukia kwa sasa tunamaombi mengi sana kutokana na punguzo la bei hivyo tunaendelea kuwafungia wateja waliolipia nyuma yako hakika na wewe tutakufungia mda chache kuanzia sasa
 
Tumepokea taarifa tutakufukia kwa sasa tunamaombi mengi sana kutokana na punguzo la bei hivyo tunaendelea kuwafungia wateja waliolipia nyuma yako hakika na wewe tutakufungia mda chache kuanzia sasa
Nimelipia tarehe 30/08/2021
Salum Issa
0713552943
Huu mwezi wa kumi sasa unataka kuisha tatizo nini au muwe mnasema ukishalipia utakaa miezi sita ndio utafungiwa umeme kuliko kutusumbua nenda rudi kila siku kama hatuna shughuli za kufanya
 
Asante kwa taarifa tunaomba uvumilivy wako tuzifanyie kazi, kuhusu kufungiwa umeme ni kweli wamelipia wateja wengi ambao wamepelekea tuwafungie kwa mfumo wa wa kwanza kulipia wa kwanza kufungiwa hivyo tutakufikia
Sawa. Navumilia, ila tarehe 3 mwezi ujao ile nguzo isipohamishwa nitakuja ofisini gongo la Mboto, na nisipota msaada nitatafuta msaada sehemu nyingine
 
Kuhusu tozo za serikali.nyumba moja Ina mita mbili killa mwezi inakatwa debt collection mita zote mbili hii inakuaje?
 
Kuhusu tozo za serikali.nyumba moja Ina mita mbili killa mwezi inakatwa debt collection mita zote mbili hii inakuaje?
Unashauriwa kutoa taarifa TRA ya eneo lako nawo ndio watafanya uhakiki na kuatupatia taarifa ya mita ipia ikatwe
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Taarifa mnapata tatizo la kukatikakatika kwa umeme linajirudia kama sasa Kinondoni. Kweli "kazi iendelee" au "hapa kazitu"?

Je, tuamini ni hujuma kwa Serikali ya Awamu ya Sita?
 
Meter nimelipia toka tarehe 23-04-2021...leo tarehe 18-09-2021...sijafungiwa umeme alafu mnaona kawaida tu, sihitaji nguzo maana nguzo ipo hapohapo uwanjani kwangu...
Nikaenda kuomba nyingine maana ile ilikuwa na visingizio vingi, nikafata taratibu, nikalipia toka tarehe 23-08-2021...bado giza tu...
Makamba yupo humu apitie changamoto hizi aone jinsi wateja tunavyotaabika kupata huo umeme
Yaani Tanesco wanaochelewa kumuingizia umeme mteja wapigwe kesi ya uhujumu uchumi. Haiwezekani Kodi tunakusanya kwa luku, Sasa wao badala ya kuongeza walipa Kodi wao wanachelewesha
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
TANESCO, shirika la Umma, mna huduma za ajabu sana.
Kodi mnaongeza ila huduma dhaifu, just extend your service to reach more clients mnaweza kufidia eneo la tozo, na sio kubaki na empty promises

Mfano angalia ombi hili la kufungiwa mita, halafu linganisheni na haya mnayo zungumza.

1-Paul Jerryson Njau
2-Nungu, Mikese Morogoro mjini
3-Maombi ya mita toka May-2021
4-Simu 0755253206

Naomba kuhudumiwa.
 
TANESCO, shirika la Umma, mna huduma za ajabu sana.
Kodi mnaongeza ila huduma dhaifu, just extend your service to reach more clients mnaweza kufidia eneo la tozo, na sio kubaki na empty promises

Mfano angalia ombi hili la kufungiwa mita, halafu linganisheni na haya mnayo zungumza.

1-Paul Jerryson Njau
2-Nungu, Mikese Morogoro mjini
3-Maombi ya mita toka May-2021
4-Simu 0755253206

Naomba kuhudumiwa.
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Ushauri kwa ofisi ya Tanesco Manispaa ya MPANDA mkoani Katavi!

Ni wiki sasa kumekuwa na tatizo mnaloliita la mtandao na hivyo kushindwa kutoa control numbers na hivyo kukwamisha zoezi zima la ulipiaji wa gharama za kuwekewa umeme n.k!!!Ushauri wangu kuliko kusumbua watu ambao wanatoka mbali kwa nini msiprint zote kwa kuwa kumbukumbu zote mnazo na kwa kuwa mmetudhibitishia Leo kuwa mtandao unakuja ,unakaa kidogo halafu unakata!

Namba mliyotupa kuwa tukae kila baada ya muda kidogo tunawapigia bado si suluhisho la kudumu!Hatua zaidi inatakiwa!

Chapeni hizo hard copies za control numbers tuje tuchukue!!
 
TANESCO nimetoa taarifa ya tatizo la umeme kwenye nyumba (kulitokea cheche za moto kwenye muunganiko wa waya unaotoka kwenye guzo na kwenye mita) toka jumamosi asubuh lakini sijapata msaada wowote.

Eneo: Gezani
Wilaya: Mkinga
Mkoa: Tanga
Simu:0655362878
 
Tunashukuru kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi
Asante kwa huduma, angalau kwa 40% nimeridhika, baada ya leo kutoa taarifa hapa jukwaani nimepewa control number na nimeshaipia

Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032974693
Kiasi: 27000 TZS
Risiti: 921291074519885
2021-10-18T16:49:56
Kupitia: EC101083820055IP

Afisa wangu mpendwa, naomba kujua hatua inayo fuata baada ya hatua hii na nitegemee kupata umeme lini?

Asante.
 
Asante kwa huduma, angalau kwa 40% nimeridhika, baada ya leo kutoa taarifa hapa jukwaani nimepewa control number na nimeshaipia

Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032974693
Kiasi: 27000 TZS
Risiti: 921291074519885
2021-10-18T16:49:56
Kupitia: EC101083820055IP

Afisa wangu mpendwa, naomba kujua hatua inayo fuata baada ya hatua hii na nitegemee kupata umeme lini?

Asante.
Asante kwa taarifa, tafadhali lipia tukufungie umeme
 
Back
Top Bottom