TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mbona mimi nimejaza form toka tar 5 September mpaka leo hata control namba sijapata kwa ajili ya kulipia na nipo ya mita 30. Kuna nini hapa
Kujaza fomu sio ishu.... Mimi fomu inamiezi 6 ,ishu ni kupata hiyo control number
 
Kujaza fomu sio ishu.... Mimi fomu inamiezi 6 ,ishu ni kupata hiyo control number
Tupatie namba ya simu au namba ya form iliyopo pale juu kulia mwa form yako tuifanyie kazi mkuu wetu tafadhali
 
Nimelipia mwezi wa 9.03 2021 mpaka leo sijaunganishiwa umeme malamba mawili mbezi
 
Tanesco wilaya Muleba mkoa Kagera wanasumbua sana kutoa huduma mpaka wqkuzungushe
 
Tanesco wilaya Muleba mkoa Kagera wanasumbua sana kutoa huduma mpaka wqkuzungushe
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Inakera sana unauma Sana,watanzania tumerudi enzi za ujima,hii Ina maana gani,umeme unakatika Mara 3 au 5 kwa siku, shida iko wapi?

Waziri mwenye dhamana, watanzania wanaumia, assessment ya ki uchumi ikoje ktk kukata umeme japo kwa dk moja?

Inakera na inauma Sana.
 
Mkuu ni kweli unachokisema,ila sio mala zote umeme unapokatika kunakua na uzembe.

Wakati mwingine wanakuepusha mwenyewe na maafa ya kuunguziwa vitu.

Na pengine kuokoa miundombinu ....pengine isipokua hivyo utaleta noma zaidi
 
Malipo yako yamepokelewa tarehe 9/09/2021 yapo kwenye orodha ya wateja watakaofungiwa umeme tunaomba uvumilivu wako
Naendelea kuwa mvumilivu hadi roho inaniuma
Hadi leo hii bado sijafungiwa na wala sioni kama kuna utaratibu wowote

Salumu issa
Simu no 0713552943
Ilala chanika kimwani street
Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032834983
Kiasi: 27000 TZS
Risiti: 921242065855721
2021-08-30T14:08:46
Kupitia: FB97911630321725
 
Naendelea kuwa mvumilivu hadi roho inaniuma
Hadi leo hii bado sijafungiwa na wala sioni kama kuna utaratibu wowote

Salumu issa
Simu no 0713552943
Ilala chanika kimwani street
Malipo yamepokelewa kwenda TANESCO
Ankara: 991032834983
Kiasi: 27000 TZS
Risiti: 921242065855721
2021-08-30T14:08:46
Kupitia: FB97911630321725
Tutakufikia mkuu wetu bado tunamaombi mengi ambayo yanafanyiwa kazi
 
Mkuu TANESCO
Naomba msaada,nimenunua umeme kwa njia ya tigopesa sijapata sms ya token

Kumbukumbu ya malipo:37135334748. Muamala: 65170713880.
 
Mkuu TANESCO
Naomba msaada,nimenunua umeme kwa njia ya tigopesa sijapata sms ya token

Kumbukumbu ya malipo:37135334748. Muamala: 65170713880.
PAKUA GePG APP UFURAHIE HUDUMA ZA TANESCO

JIHUDUMIA BURE KUPITIA APP YA SERIKALI YA GePG

Kupakua GePG App bofya link ifuatayo[emoji116]

Playstore[emoji116][emoji116]


Au

AppStore


Au

Ingia Playstore/Appstore na tafuta (search) GePG Tanzania kisha fata taratibu za kuipakua

Unaweza kuona huduma zifuatazo kupitia App hii[emoji116][emoji116]

[emoji3578] Kufanya malipo ya bili ( Make payment)

[emoji3578]Kununua token za umeme (Buy electricity token)

[emoji3578] Kuona umeme wa mwisho ulionunua ( Get last token) kwa kutumia moja kati ya taarifa zifuatazo[emoji116][emoji116]

[emoji843] Namba ya mita au

[emoji843]Namba ya simu uliyonunulia umeme au

[emoji843]Namba ya stakabadhi yako (PSP/GePG receipt),

Hii inawasaidia wateja walionunua umeme na kuchelewa kupata token kuangalia kwenye App kama manunuzi yamefanyika na kujipatia token zako bure kabisa

Kwa maulizo wasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja, Makao Makuu
0768 985 100/ 022 219 4400

Tumerahisisha maisha kupitia GePG App

TANESCO Tunayaangaza Maisha Yako
 
Kinondoni Biafra umeme umekatika tokea asubuhi kuja shida gani? TANESCO
KUKUMBUSHIA KATIZO LA UMEME KWA SIKU YA KESHO TAREHE 26/10/2021

SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)

22/10/2021

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KASKAZINI

Shirika la Umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Kinondoni Kaskazini linawataarifu kuwa kutakuwa na katizo la umeme katika laini ya
OYSTERBAY 4 (O4) kama ifuatavyo;

Siku Jumanne Tarehe 26-10-2021

Muda Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00 Jioni.

Sababu Kufanya matengenezo kwenye laini pamoja na kubadilisha nguzo za miti na kuweka nguzo za zege ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Maeneo yote ya Kinondoni, Barabara za Tunisia na Kilimani, Ofisi za Osha, Kinondoni Mahakamani pamoja na maeneo ya jirani.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tahadhari
Usikanyage wala kugusa waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kwa simu na.zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Kinondoni Kaskazini
0784768584/0716768584


Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KINONDONI KASKAZINI
 
KUKUMBUSHIA KATIZO LA UMEME KWA SIKU YA KESHO TAREHE 26/10/2021

SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANZANIA)

22/10/2021

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KASKAZINI


Shirika la Umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Kinondoni Kaskazini linawataarifu kuwa kutakuwa na katizo la umeme katika laini ya
OYSTERBAY 4 (O4) kama ifuatavyo;

Siku Jumanne Tarehe 26-10-2021

Muda Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00 Jioni.

Sababu Kufanya matengenezo kwenye laini pamoja na kubadilisha nguzo za miti na kuweka nguzo za zege ili kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Maeneo yote ya Kinondoni, Barabara za Tunisia na Kilimani, Ofisi za Osha, Kinondoni Mahakamani pamoja na maeneo ya jirani.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Tahadhari

Usikanyage wala kugusa waya uliokatika au kulala chini.

Wasiliana nasi kwa simu na.zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Kinondoni Kaskazini
0784768584/0716768584


Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz,

Mitandao ya kijamii

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/

Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KINONDONI KASKAZINI
Sawa. Ingekua vizuri zaidi taarifa kama hiyo mkiipost kwenye account zenu za mitandao ya kijamii ili watu wajiandae TANESCO
 
48614300344570432446 Umeme wa Mwisho kununua wa Tsh 1500
Nimelipia leo

Umelipa TSh 4,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:37135334748. Muamala: 65170713880. Jumla ya Makato TSh 80. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 12. 26/10/21 12:40.
 
Nimelipia leo

Umelipa TSh 4,000 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:37135334748. Muamala: 65170713880. Jumla ya Makato TSh 80. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 12. 26/10/21 12:40.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado manunuzi ya leo hayajafanikiwa tunaomba tufatilie mkuu wetu.
 
Back
Top Bottom