Huku nilipo hakukuwa na umeme.
Natamani hii serikali isiwaprove watu kama mleta mada right.
 
Soon atasaini mikataba ya majenereta ...usiwe na wasi wasi mtoa post maana matatizo yanatengenezwa halafu Yanatafutiwa ulaji..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
mtoa mada kwani wewe upo mkoa gani..... sisi wa uku mwanza mambo ni shwari
Huko mwanza kuna eneo linaitwa UKEREWE, kule upepo ukivuma tu vuuuu umeme haupo, mvua ikidondoka tu, twa..twa..twaaa..Umeme dwii!!
 
We acha tu, Arusha Kijenge chini umekatika muda si mrefu😬
 
TANESCO huku mbezi beach maeneo ya interchick huu umeme unakatika na kurudi within a blink of an eye toka jioni hii mpaka sasa kila saa inafanya hivyo, mna shida gani jamani mmeniunguzia fridge naona mnataka kuchoma na nyumba zetu au nini?
 
Anamuuliza nani ? Yeye kwa kazi yake Achunguze alafu alete majibu...,

Ingawa kila mwenye macho anaona umeme unakatika sana sasa hayo kama ni mgao au kugawana hizo ni semantics...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…