Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Tanesco Dodoma. Eti waya za kuunga umeme kutoka kwenye nguzo hazipo?? Nina site mbili Nzuguni na Ilazo. Nzuguni ni mwezi wa sita huu toka tufanye maombi wameleta nguzo tuu. Mpk sasa hatujapewa control namba. Ilazo control namba tayari tumelipia ila eti waya hakuna wa kuingiza umeme ndani nguzo ipo nje tuu ya nyumba.
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Je kweli waya hazipo?
 
Habari TANESCO... nimekosea kununua Umeme nimelipia kwa meter namba sio yangu.. Je kuna uwezekano nikapewa tokeni zangu (corresponding to my meter number).

Ahsanteni
 
Habari TANESCO... nimekosea kununua Umeme nimelipia kwa meter namba sio yangu.. Je kuna uwezekano nikapewa tokeni zangu (corresponding to my meter number).

Ahsanteni
Tafadhali fika ofisi za eneo lako kwa hatau zaidi
 
mkuu tuliatu mimi tangu mwez wa saba had sasa sjapewa token na naambiwa nipo nje ya miundo mbinu na nguzo ilipo ni nyumba ya pili tu kutokamimi nawauliza kwa hiyo et had wafungue mradi na bajeti na hilo jukum la tanesco yan hawaeleweki nimeamua kukaa kimya sababu nimechoka
 
Habari TANESCO,
Ni mwezi wa tatu sasa tangu tumeomba kufungiwa umeme lakini kila tikiuliza tunapewa sababu mpya. Mara hatuna gari, mara team yetu iko busy inatengeneza nguzo zilizoanguka, na kadhalika na kadhalika. Tufanyeje?
 
Habari TANESCO,
Ni mwezi wa tatu sasa tangu tumeomba kufungiwa umeme lakini kila tikiuliza tunapewa sababu mpya. Mara hatuna gari, mara team yetu iko busy inatengeneza nguzo zilizoanguka, na kadhalika na kadhalika. Tufanyeje?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Hivi TANESCO kwa haya maajabu yanayoendelea mitaani nanyi mmekaa ofisini mnasubiri maoni ya watz ndio muanze kufanya kazi kweli au mnatania?
 
Hivi TANESCO kwa haya maajabu yanayoendelea mitaani nanyi mmekaa ofisini mnasubiri maoni ya watz ndio muanze kufanya kazi kweli au mnatania?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Sasa ndo nini hiki kila kitu mnataka kuulizwa kwa simu ya kawaida na humu mnafannya nini kama hata kujibu maswali ya kawaida hamuwezi
 
Kwa maskitiko makubwa kabisa leo naandika hapa,baafa ya Tanesco Morogoro kushindwa kupeleka surveyor katika nyumba ambayo fomu yake ilijazwa na kukabidhiwa tangu 29/06/2021.
Niliwa-dm last time mkasema mtafanyia kazi lakini mpaka Leo hakuna surveyor aliyepata.
Hata siku surveyor akipita maana yake itanibidi nisubiri miezi 6 kupata control number na miezi 6 tena kupata umeme.....is this fair?
mimi ni Omari Makoo
Nyumba ipo Vibandani

 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Dah hapo kuna shida mi nimeambiwa mkono uwe mrefu
 
Tanesco leo mmeunguza vitu vyangu vya umeme kutokana na voltages zenu kua juu kuliko kawaida.. nipo kigamboni hospital ya vijibweni contact ni 0689783777

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nimeamini enzi za upigaji zimerudi

Jana hapa Mara umeme umekata saa 12 asubuhi umerudi saa sita usiku

Saa tatu usiku miji ilikuwa giza la hatari ikipigwa tafu na mbalamwezi, na Makamba yupo ofisini nchi haina umeme

Mvua zinanyesha lakini tunashangaa huu mgawo unatoka wapi?

Inyeshe isinyeshe mgawo, enzi za upigaji zimerudi nimeamini, mbona kipindi cha JPM haya madudu hayakuwepo?

Nchi hii tuna safari ndefu sana zaidi ya karne 5
 
Muda Huu Dar Es Salaam Tanzania Umeme Upo
Mvua Inanyesha Taratibu, Lile Bwawa Litajaa Na Kufurika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…