Kwahyo hzo nchi ambazo umeme huwa haukatik mitambo huwa haifanyiw merekebisho au ?Marekebisho ya mitambo yanaendelea, si unajua kwa mida wa miaka mitano mitambo haikufanyiwa ukarabati?
Mtanikumbuka kwa mema.Wakuu....this is too much
Mbona mambo yako vivid sana wakuu
Au ni wenge langu mim
Mbona shida ni nying au ni mim peke yangu
Kwanza nikiweka wese la 20 napata lita 7.8
Umeme unakata mfululizo leo nmehesab..ni wik ya 3 hii umeme kila siku unakata saa tisa usiku had saa kum na mbil asubuh
Mbona nateseka snaa jaman na haikuaga hiv?
Daaaaah eeh Mungu wangu eeeh.dahhh...
Sio kina cha maji?Marekebisho ya mitambo yanaendelea, si unajua kwa mida wa miaka mitano mitambo haikufanyiwa ukarabati?
Sio si tuna utaratibu wetu mtuache kwanza tuukamilisheSio kina cha maji?
Wafanyakazi wa TANESCO za huko nchini Kwao wana Uvivu wa Kufikiri na wa Kiutendaji kama wa TANESCO yetu Mkuu?Kwahyo hzo nchi ambazo umeme huwa haukatik mitambo huwa haifanyiw merekebisho au ?
Nyie akina nani tena?Sio si tuna utaratibu wetu mtuache kwanza tuukamilishe
Ukiona hivyo ujue zama za Jiwe zilishapitaWakuu....this is too much
Mbona mambo yako vivid sana wakuu
Au ni wenge langu mim
Mbona shida ni nying au ni mim peke yangu
Kwanza nikiweka wese la 20 napata lita 7.8
Umeme unakata mfululizo leo nmehesab..ni wik ya 3 hii umeme kila siku unakata saa tisa usiku had saa kum na mbil asubuh
Mbona nateseka snaa jaman na haikuaga hiv?
Daaaaah eeh Mungu wangu eeeh.dahhh...
Mpaka CCM muiteCHICHIEM ndy wataacha kuchezea switch button ahahah [emoji1787]Marekebisho ya mitambo yanaendelea, si unajua kwa mida wa miaka mitano mitambo haikufanyiwa ukarabati?
EiwaaahMpaka CCM muiteCHICHIEM ndy wataacha kuchezea switch button ahahah [emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Utaambiwa wewe ni Sukuma Gang na wenzetu walio hamia Burundi.Wakuu....this is too much
Mbona mambo yako vivid sana wakuu
Au ni wenge langu mim
Mbona shida ni nying au ni mim peke yangu
Kwanza nikiweka wese la 20 napata lita 7.8
Umeme unakata mfululizo leo nmehesab..ni wik ya 3 hii umeme kila siku unakata saa tisa usiku had saa kum na mbil asubuh
Mbona nateseka snaa jaman na haikuaga hiv?
Daaaaah eeh Mungu wangu eeeh.dahhh...
Kuhusu utaratibu tu muishimiwa mjumbe au?Nyie akina nani tena?
Hii ni kweli kabisa hata mie mitaa ya kwetu umeme hukatika saa tisa mpaka kumi na mbili asubuhi.
Kuanzia miss hiyo sahau kulala inabidi uamke tu naona wameamua kutuamsha kwenda kazini ingali wengine tupo likizo.
Wakate mchana tena lisaa limojaWewe unapendekeza wakate muda gani?
CHICHIEMU OYEEEMpaka CCM muiteCHICHIEM ndy wataacha kuchezea switch button ahahah [emoji1787]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
hp?threads/1236293/44rUkiona hivyo ujue zama za Jiwe zilishapita