TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA(TANESCO)

TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEME – MKOA WA MBEYA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Mbeya kuwa, kutakuwa kazi ya kuboresha miundombinu ya umeme itakayosababisha baadhi ya maeneo kukosa umeme kama ifuatavyo:

ALHAMIS, TAREHE 14-09-2017.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Sae, Mwakibete, Shewa, Ituha na Chanzo cha maji Ruanda Nzovwe

IJUMAA, TAREHE 15-09-2017.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Mafiat, Iyela, Airport, Mwanjelwa, Soweto, Ilomba, Sae na Uyole

JUMAMOSI, TAREHE 16-09-2017.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Mafiat, Iyela, Airport, Mwanjelwa, Soweto, Ilomba, Sae, Uyole na maeneo yote ya Wilaya za Chunya na Mbarali

MUDA: Kuanzia 03:00 Asubuhi hadi 11:00 Jioni

SABABU: MATENGENEZO KWENYE KITUO CHA GRIDI MWAKIBETE- MBEYA.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka, toa taarifa kupitia dawati la dharura Mkoa wa Mbeya simu namba:

- 0759 777781
- 0787 023422

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
14/09/2017

TANESCO
MAKAO MAKUU
HUDUMA KWA WATEJA
Kituo cha miito:0768985100 AU 022 2194400
Barua pepe:customer.service@tanesco.co.tz
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.twiter.com/tanescoyetu
www.facebook.com/tanescoyetu
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA UMEME MKOA WA TEMEKE


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke
linawataarifu wateja wake kuwa, kutakuwa na maboresha ya miundombinu ya umeme kwa kufanya kazi ya Kubadilisha nguzo za laini kubwa zilizooza, kunyoosha nguzo zilizolala na kufanya maboresho kwenye transfoma maeneo inapopita laini kubwa ya Tandika 3 na Tandika 4, siku ya Jumamosi 16 septemba, 2017 kuanzia saa 02.00 Asubuhi hadi saa 11.00 Jioni. Kutokana na matengenezo hayo baadhi ya maeneo yatakosa umeme ambayo ni Yombo Maguruwe, Tandika Nyamwera, Yombo Dovya, Njia panda ya Mwinyi , Kilakala , Mabomba nane Mwisho wa Rami, Chalinze, Malawi, Tandika Maguruwe, Kisiwani, Sandali, Buza, Yombo Vituka Mashine ya maji,


Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:

Toa taarifa Dawati la dharura Mkoa wa Temeke 0712052720, 0788 499014, 0732997361, au Kituo cha miito ya simu namba 2194400 au 0768 985 100.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na: OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO – MAKAO MAKUU.

TANESCO
MAKAO MAKUU
HUDUMA KWA WATEJA
Kituo cha miito:0768985100 AU 022 2194400
Barua pepe:customer.service@tanesco.co.tz
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.twiter.com/tanescoyetu
www.facebook.com/tanescoyetu
 
Bagamoyo mjini mitaa ya nianjema na magomeni
Hata kwa private mesage
Pia ni pa kubwa namba yakonya simu tukuoigie tafadhali

TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO


TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
 
TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Baada ya hiyo REPLY yangu mliomba namba za simu nikawapa ila naona mmevunga, hakuna updates zozote.
Pole sana mpendwa mteja
Tunaomba namba yako, mkoa na wilaya yako na huduma unayoomba

TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
 
Mkuu, naomba kujua tatizo ninini, nimeomba kuunganishiwa umeme kwa umbali wa nguzo moja na kulipia toka January 2017, mpaka ninapoongea sijaungiwa umeme. Nipo Kyela. Naomba kujua tatizo ninini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, naomba kujua tatizo ninini, nimeomba kuunganishiwa umeme kwa umbali wa nguzo moja na kulipia toka January 2017, mpaka ninapoongea sijaungiwa umeme. Nipo Kyela. Naomba kujua tatizo ninini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umelipa kwa jina gani, namba ya simu na namba ya fomu yako

TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
 
Kuna msoma meter mmoja kila akija kwangu ananitishia kuwa meter yangu imekorogwa so nimpatie milioni moja ili soo liishe. Nikamwambia hii meter imewekwa na tanesco .sijui iyokitu unayosema imechezewa kvp anakosa jibu
 
Kuna msoma meter mmoja kila akija kwangu ananitishia kuwa meter yangu imekorogwa so nimpatie milioni moja ili soo liishe. Nikamwambia hii meter imewekwa na tanesco .sijui iyokitu unayosema imechezewa kvp anakosa jibu
Tunaweza kupata jina la msoma mita huyu pamoja na kituo anachofanya kazi bila kusaau taarifa zako ilintuweze kulifikisha sehemu huska na ikiwezekana kubadilishiwa mita na kiwekea mita ya luki ili kutoa usumbufu huo...

TANESCO
MAKAO MAKUU
HUDUMA KWA WATEJA
Kituo cha miito:0768985100 AU 022 2194400
Barua pepe:customer.service@tanesco.co.tz
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.twiter.com/tanescoyetu
www.facebook.com/tanescoyetu
 
Tunaomba mtupatie umeme eneo la MGEULE (uwanja wa mpira, kwa mama NURU), kata ya Buyuni, wilaya ya Ilala, DSM. Nyumba zimeongezeka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco Lindi region you're very rotten, ata hapa naandika nikiwa gizani,shirika gani limekua kama wanasiasa
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;


LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Hivi Tanesco mmeanza mgawo wa umeme? Mbona kila siku lazima umeme ukatike Gongolamboto na Pugu? Mnakera sana
 
Tanesco ya kisarawe imekua kero kubwa kwa wana nchi wa maeneo hayo na kusababisha uhalifu mkubwa maeneo hayo kwa kukata Umeme sana usiku mpaka kuwapa kero jeshi la polisi

..kama wana nufaika na ualifu unao tokea kisarawe na pugu tujue ..
 
Tanesco ya kisarawe imekua kero kubwa kwa wana nchi wa maeneo hayo na kusababisha uhalifu mkubwa maeneo hayo kwa kukata Umeme sana usiku mpaka kuwapa kero jeshi la polisi ....
..kama wana nufaika na ualifu unao tokea kisarawe na pugu tujue ..
Upo eneo gani haswana namba yako ya simu mpendwa mteja,je hauna umeme leo

TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
 
Hivi ninyi Tanesco hawa vishoka tangu wameanza hadi leo mmeshindwa kuwadhibiti? Naina wa meshakua CHAIN SAW.... Soon wanakuwa grada...

Sent using Jamii Forums mobile app
Shirika limeendelea kuchukua gatua kali kwa wote wanaonaswa,hivyo tunakuomba wewe pamoja na wateja wengine kama mna taarifa zao mtoe taarifa polisi au ofisi zetu kwa hatua za kisheria

TANESCO Makao Makuu

Huduma kwa Wateja

Simu: 0768985100/0222194400

Barua pepe: customer.service@tanesco.co.tz

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook.com/tanescoyetu

www.twitter.com/tanescoyetu

TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO
 
Back
Top Bottom