TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 496
- 515
Nimefanya taratibu zote ikiwa pamoja na Kulipia gharama za kufungiwa Umeme lakini mwezi sasa umepita hakuna anayekuja kunifungia Umeme, Nyumba yangu ipo Kinyerezi Kanga, Mtaa wa Kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InboxNdugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Tunashukuru kwa taarifa tafadhali onesha namba ya simu kwa hatua zaidiTanesco mkoa wa Kilimanjaro ,Kijiji Cha Shari wilaya ya Hai .kweli wamewakosea Nini haiwezi kuisha week bila umeme kukatika sio masika sio kiangazi .hata saa hii wamekata umeme toka saa 2 asubuhi kurudi Ni majaaliwa .
Hii nimesema kwa kijiji nilichopo ila naamini maeneo mengi ya huku Hali ipo hivyo hivyo
Lini nitapata control number nikekaa muda mrefu sana bila kupataMimi naitwa VALENCE CASSIAN KUNDY
NIPO MOSHI
NILIOMBA KUUNGANISHIWA UMEME TOKA MWEZI WA 8 MWAKA JANA NIKAFANYA SURVEY ILA HADI LEO SIJAPATA CONTROL NUMBER NA KIKA NIKIFIKA OFISINI WANASEMA MTANDAO UPI CHINI SIJUI MTANISAIDIAJE?
0755705925
Ombi langu mmekaa kimya?Je umerudisha form iliyokamilika lini?
hivyo nitasubiri muda ganiEneo lako linahitaji tusogeze angalau nguzo 3 ndio uweze kupata huduma
mwezi wa 9 mwaka janaOmbi langu mmekaa kimya?
0755705925Tafadhali onesha
Simu
Eneo
Wilaya
Tatizo kwa hatua zaidi
Ndio jina valence cassian kundyNamba hii haipo je uliandika namba ya simu ipi kwenye maombi yako ya umeme
0755705925
Mwanza kuna Shida Gani toka umeme unakatika asubui unarudi jioni, kama kuna shida si mtutangazie tupange ratiba zetu na kutupiga mgao wa kimya kimyaNamba ya simu uliyoandika kwenye form tako ya maombi ya umeme itatusaidia kuona taarifa zako kwa urahisi