Tanesco poleni, na majukumu.
Maswali

1. Kwa nini mnakata umeme zikionekana dalili za mvua?

2. Kwa nini mnaendelea kukata umeme mvua ikiendelea kunyesha tena wakati mwingine hakuna radi wala ngurumo ama upepo?

3. Kwa nini hali hii imejitokeza awamu hii ambayo, tumeambiwa sasa mmeishafanya 'maintainance' kwenye mfumo mzima wa umeme ambao inasemwa hakufanyika awamu iliyopita na sasa mna software mpya ya mambo ya management ya masuala la umeme ambayo mmeingia mkataba na kampuni ya nje hivi karibuni?

4. Awamu iliyopitia mlikuwa mnatumia mbinu gani kuhakikisha umeme haukatiki wakati mvua inanyesha huku mfumo wenu wa umeme mlikuwa hamuufanyii maintainance?

Natanguliza shukrani kwa majibu mazuri.
 
Ukijibiwa Vyema kama sio Porojo Unistue
 
Tanesco Tz
Nmefungiwa umeme ijumaa ya week iliyopita
Juzi alhamisi nikafanyiwa usajili wa meter
Nimenunua umeme kwa wakala mkuu kama mnavyoshauri na jina limetokea la kwangu hadi meter number, lakini nilipoweka huo umeme remote ikaonyesha tayari lakin nilipoangalia salio lipo lile lile lilikuja na meter nikaingiza tena remote ikasoma imetumika, sasa leo umeme umeisha kabisa hata nikinunua mwingine hali ni ileile unaingia lakini hausomi tatizo nini
 

Ilala Chanika
Simu no 0713552943
Gogo street
 
Wilaya; Kinondoni

Simu; 0759218987

Mita no: 04134167768

Tatizo: Kuna phase kadhaa za ndani ya nyumba yetu umeme hauwaki. Tumevheki power circuit breaker ya ndani na nje ipo sawa.
 
Jina.Hassani Hamisi Dibega
Eneo la Nyeburu-Chanika
Wilaya ya Ilala Dar es Salaam
Namba ya simu;0621532255

Tatizo: Nguzo ingejengwa toka November 2021, lakini mpaka 30January 2022 bado wire wa 50mm haujawekwa ili wateja wapewe control number kulipia service line,na inavyoonekana inaweza kufika July 2022 bila kutatua changamoto hii.

Matokeo yake, serikali inapoteza Kodi ya majengo, ambayo mwaka huu inakusanywa kupitia Luku

Mamlaka husika,zichukue hatua stahiki kutatua changamoto ya nyaya za umeme na nguzo
 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
 
Dumila Tenesco tumewakosea nini toka jana hadi leo umeme haujarudi
Yaani toka mwezi wa 11 tuko kwenye mgao mkali usioisha Tanesco naomba majibu kuna matatzo gani Dumila
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Eneo ni kata ya Dumila ipo wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro

Tatizo ni kukosekana kwa umeme na tatizo hili limeanza toka mwezi wa 11 mwaka jana yaani umeme umekuwa unarudi kwa bahati sana na hata ukirudi unakatika katika
Mfano toka majuzi juzi jana umeme umezid spid ya kukatika yaani tunalala bila umeme Nasisitiza ni toka mwaka jana

Namba sina haja ya kukupa sababu tatizo lipo Dumila nzima sio nyumba moja
 
Tunashukuru kwa taarifa

Tumeipokea kwa hatua zaidi
 
Hivi nyie TANESCO mnanichukuliaje???
Mimi nifatilia kufungiwa umeme miaka miwili???
Nimetoa taarifa ofisi za wilaya na kwa mitandao ya jamii lakini sipati jibu.
 
TANESCO Naomba nyinyi watu wa makao makuu mtusaidie wakazi wa Kimara mwisho,kila mara kunapokuwa na mvua,miundombinu yenu maeneo ya chuo cha ebonite, Mavurunza huwa inasumbua sana. Kuna transfoma maeneo hayo yaani mvua ikinyesha tu transforma hiyo lazima izingue na kutukosesha umeme.

Hebu tunaomba mfuatilie miundombinu hii isiendelee kusumbua hata kuwe na mvua,kama ilivyo maeneo mengine, transforma hii inatusumbua sana wakazi wa Kimara mwisho.

Leo hapa hatuna umeme hadi muda huu, transfoma imelipuka asubuhi!ni miaka zaidi ya miwili sasa hii transfoma inasumbua, kila mara kulipuka, na bado mnaing'ang'ania hiyo hiyo, matokeo yakr itasambaza hitilafu hata kwa miundombinu mingine sasa!embu jiongezeni kidogo basi wakuu,au mnapenda mambo haya?!
 
yani umeme umekuwa kama lulu, nipo mitaa hii transformer imetoa mlio mkali zaidi ya kombora.
 
Mariam Hindi Maruhe(0652838467),
Athumani Huseni(0686200135),
Farida Ayoub(0715760990)

Eneo: Taliani Chanika

Wilaya ya Ilala

Namba za simu angalia hapo juu

Tatizo;
Kujengewa service line kwa wateja zaidi ya 15 walio hamishwa kutoka Kigilagila na kupelekwa Nyeburu/Taliani mwaka 2011.

Tatizo lilianzia lini?
Tatizo lilianza November 2011wakati Mradi wa REA haukuwafikia baadhi ya wananchi waliohamishwa kutoka Kigilagila. lakini baada ya kufuatilia kwa miaka mingi, Mwezi Mei,2021, TANESCO,waleta barua ya kuahidi kuwa wale ambao hawakufikiwa na mradi mwaka wa fedha ulioishia June 30,2021 watapata huduma mwaka wa fedha unaoanza July 01,2021.
Tarehe 16 August 2021, TANESCO walifika Mtaa wa Taliani na kufanya survey kwa wateja zaidi ya kumi na tano ambao wanahitaji nguzo nne ili kupata umeme wa REA(Pari urban).
Ni miezi mitano na zaidi, imepita tangu survey ifanyike, lakini TANESCO bado hawaja waangazia Maisha.

Ushauri
1). Board na Management ya TANESCO,waweke mikakati ya kupunguza kama siyo kutokomeza changamoto ya wateja kuunganishiwa umeme bila usumbufu na ucheleweshaji.
2). Ni vema wateja wakawa wanapewa feedback kwa maana kwenye fomu za maombi huwa kuna namba za simu.
 
yani umeme umekuwa kama lulu, nipo mitaa hii transformer imetoa mlio mkali zaidi ya kombora.

Yaani acha tu mkuu,hii transfoma inasumbua siku nyingi sana, tumeshairipoti sana kule Mbezi lakini wanakuja wanaichokonoa ikikaa sawa basi, ila kila ikiguswa na maji lazima izime.over two years now, na bado mara kwa mara inatusababishia usumbufu mkubwa wa hitilafu za umeme mji wa Kimara.

Je, hivi inavyolipuka, kitaalamu haiwezi kusababisha hitilafu kwenye miundombinu mingine iliyoungana nayo? kwanini taking this risk wakati ni suala la kutathmini tu na kuchukua hatua kwa usalama wa network yote ya umeme pamoja na huduma endelevu kwa watumiaji.

Wao wanaona raha kuja kuchokonoa vitu mitaani kila siku ili iweje? kuna hela inaongezeka kwa mafundi wawapo field au? maana mtu unashindwa kuelewa why uzembe huu, kitu kinasumbua mda mrefu, kisharipotiwa na kina hatarisha usalama wa miundombinu mingine pamoja na watu ila bado wanang'ang'ania tu.!shirika la ajabu sana hili!

hakuna watu wanaofikiri yaani, disgusting!
 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Makamba na Team yako umeme umekuwa tatizo sana toeni taarifa ya kweli kinachoendelea Tanesco. Nimechoka migao ya kimya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…