Miaka karibu 50 toka shirika lianzishwe wameshindwa tatua tatizo

Labda wapewe miaka 90 mingine ndio wataweza mkuu



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nchi nyingi za ulimwengu wa tatu bado hatujaweza kujitegemea kuanzia bajeti na mambo mengineyo na hata tekinolojia tunayo itumia sio yetu na tekinolojia ni gharama kubwa sana kiasi kwamba hatuwezi kuimudu.

Nina imani tukiweza kujimudu kibajeti na kitekinolojia hayo yote itakuwa ni rahisi kutekelezeka
 
Shughulikeni na suala la kuunganishia watu umeme hasa wateja wapya, kuna ambao wameomba wanazungushwa tu hata control namba hazitoki kwa wakati ili walipie waunganishiwe umeme japo ni wa bei mbaya kwa sasa laki tatu plus badala ya 27,000
 
Shughulikeni na suala la kuunganishia watu umeme hasa wateja wapya, kuna ambao wameomba wanazungushwa tu hata control namba hazitoki kwa wakati ili walipie waunganishiwe umeme japo ni wa bei mbaya kwa sasa laki tatu plus badala ya 27,000
Tafadhali onesha namba ya simu uliyoandoka kwenye fomu yako kwa hatua zaidi
 
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji na hatua zaidi tafadhali
 
Mlio Tanga, Leo Ni mgao wa Umeme? Toka saa moja Hadi Sasa. Tunao chomelea shida tupu. Tupeane taarifa please
 
Vumilieni hizi siku 10 wafanye maboresho yao
Shida ya umeme itakuwa kwishney

Ova
 
Kuna sehemu inaitwa Kigelo, Kongowe, Kibaha. Pwani. Hapa. Kigelo kila mvua inyeshapo lazima umeme ukatike. Sasa hivi ( 2.11 am ,5th February, 2022) Kuna kajimvua ka mkia wa mbuzi na umeme umekatika.

Meneja Tanesco mkoa wa pwani, Kama umeshindwa kutatua hili tatizo la muda mrefu Sasa. (Tangu meneja mchapakazi kustaafu) achia ngazi Kuna vijana wa dot.com wanaweza kufanya hiyo kazi kwa ufanisi zaidi.
Kuna haja gani wewe kulalia hicho kiti ilhali kila siku tunaibiwa kisa umeshindwa kuleta umeme wa uhakika.
 
Je umepomiwa lini? Tafadhali onesha namba ya simu na Wilaya kwa hatua zaidi
Nmeshapimiwa survey alishakuja
Tangu 18 January 2022

Mkoa Kilimanjaro
Wilaya Rombo
Office nliochukulia form na kurudisha
ni Tarakea wilaya ya Rombo

Phone 0745140560

Jina Aristidis s shirima
 
Zile mita kwa ajili ya fremu za maduka zinazojitegemea zipo tena kweli? Maana kero kubwa ya wapangaji wa vyumba haswa fremu ni kudaiwa kuchangia bili za umeme usioendana na matumizi. Wenye nyumba wanaamua tu wapendavyo.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Tunashukuru kwa swali, mnaweza kuomba mita kwa kila frame au kununua sub meters kwa ajili ya kusoma matumizinya kila mmoja wenu na vinawekwa na fundi wenu wa umeme
 
Nmeshapimiwa survey alishakuja
Tangu 18 January 2022

Mkoa Kilimanjaro
Wilaya Rombo
Office nliochukulia form na kurudisha
ni Tarakea wilaya ya Rombo

Phone 0745140560

Jina Aristidis s shirima
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
Tunashukuru kwa taarifa tafadhali onesha namba ya simu kwa wepesi wa kufatilia na hatua zaidi
 
Tabora malolo kombamasai bado tunatizama nguzo hatujui kinacho endelea
Ndugu Mpendwa Mteja wetu!

Tunashukuru kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja, Tafadhali onyesha taarifa kamili zitakazotuweza kufatilia na kufanyia kazi taarifa zako kwa mfumo ulionyeshwa hapo chini:-

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa kama ulitoa taarifa

Tunashukuri kwa ushirikiano wako,

TANESCO Huduma kwa Wateja

Makao Makuu

Mawasiliano: 0748550000
 
Binafsi leo TANESCO nimefurahishwa na response yenu kwa emergence case niliyoitolra taarifa leo. Kwa kweli leo mmenikosha

1. Ninepiga namba hii 0748550000 ya emergence, kuanzia response ya yule mama aliyepokea simu na jinsi alivyonipa maelekezo kwa kweli yupo vizuri

2. Baada ya kupewa refference namba na simu kukatwa, nikapigiwa na watu wa emergence kwamba niwaelekeze nilipo na fasta wakaja

3. Yaani within saa moja ishu ikawa imetatuliwa

KWAKWELI LEO MMEJUA KUNIFURAHISHA

HONGERENI SANA KWA HILI LA LEO KWANGU
 
Tunashukuru sana mpendwa mteja wetu

Endelea kufurahia huduma zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…