Ndugu mpendwa Mteja wetuSiku ya pili Leo mfululizo Dumila hatuna umeme Na TANESCO MPO tu
Alafu magole upo tangu asubuhSiku ya pili Leo mfululizo Dumila hatuna umeme Na TANESCO MPO tu
Ndugu mpendwa Mteja wetuAnyway Mimi ndio mwenye Shida wacha nirudie tena kuandika tatizo langu
Mimi ni Mwanachi kutoka Dumila iliyopo Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro
Tatzo langu ni ukatikaji wa umeme kiholela toka mwezi wa 11 mwaka Jana
SIO kwamba nyuma ulikuwa haukatiki Ila toka mwezi wa 11 umekuwa ni mgao mkali uliopitiliza Na ambao haujawahi kutokea
Yaani Kwa Wiki umeme unaweza katika hata Kwa siku 4 mfululizo Na hapo hata siku tukiachiwa tushinde nao basi utakatwa hata mara 5 Hadi 10 Na imefika wakati ni Kawaida kulala bila umeme
Kuhusu namba Za simu naona hazina haja sababu tatzo ni la Dumila yote yaani Kata nzima ya Dumila Ila kama ingekuwa ni kimitaa ningeweka mawasiliano yangu
Nasubiria Majibu maana Majuzi umeme umekatwa karbu mara 10 juzi nako hivyohvyo Jana haukushinda kabisa Na Leo Napo Hakuna kabisa
Toka Muda nishatoa Taarifa Ila Utekelezaji HakunaTafadhali weka taarifa kamili hata PM tukuhudumie
Hawana huruma na wananchiUjue tunapitia kipindi kigumu mno Kwa Sasa Dumila halafu Muda huo umeme Hakuna Na Kazi bila umeme haziendi Na unapishana Na Hela Tu hasara kibao halafu unawakia TRA wanatangaza sijui hakikisha unalipa kodi mara porojo Na vitisho kibao yaani unatamani hata ukate kichwa cha mtu Ila ukikumbuka kuwa nao wanatumwa Tu unaishia kuwakimbia
Wanaupuuzi mwingi kama waziri waoToka Muda nishatoa Taarifa Ila Utekelezaji Hakuna
Hivi si mumfukuze Meneja wenu Kanda ya Mvomero maana Hakuna akifanyacho zaidi ya Kula mshahara wa bure tu
UMEONA HIYO PICHA NI JANUARY 23 NALALAMIKAGA TU HADI LEO NA KAZI YENU NI KUSEMA MNAFANYIA KAZIView attachment 2121091
Tatizo Watanzania Tunaishi Maisha Ya Kinafki SanaHuko jamhuri ya Twitter wakosoaji wote wanaoikosoaga Tanesco Leo wanasifia tena ghafla Ila Sishangai ni mambo ya 10%
Eneo lote la dumila hakuna umeme mnatutesa sanaHaukuweka namba ya simu wala eneo gani haswa, Dumila ni eneo kubwa na sio kubwa lote halina umeme
Hao wanaosemekana ni wezi,wahujumu na walanguzi wanatokea chama cha majizi:Unashangaa nini?Ukweli ni kwamba, tangu atutoke JPM, umeme umekuwa ni shida sana hapa Nchini. Umeme unakatika karibu kila siku na kila muda.
Kwa kuwa hali kama hii haikuwahi kutokea wakati wa JPM, tatizo lililopo sasa ni kwamba; wanaoongoza Wizara hii ni wale wezi, wahujumu na walanguzi ambao JPM aliwatupilia mbali. Lakini sasa hao ndo wanaoongoza. Ni shida sana.
Lakini Mungu mkubwa, 2025 siyo mbali sana. Kwa hakika kila mtu atavuna alichikipanda.
Hatuwezi kuwa na viongozi wabovu kiasi hiki.
Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000
Mlifurahia kifo cha JPM.Ukweli ni kwamba, tangu atutoke JPM, umeme umekuwa ni shida sana hapa Nchini. Umeme unakatika karibu kila siku na kila muda.
Kwa kuwa hali kama hii haikuwahi kutokea wakati wa JPM, tatizo lililopo sasa ni kwamba; wanaoongoza Wizara hii ni wale wezi, wahujumu na walanguzi ambao JPM aliwatupilia mbali. Lakini sasa hao ndo wanaoongoza. Ni shida sana.
Lakini Mungu mkubwa, 2025 siyo mbali sana. Kwa hakika kila mtu atavuna alichikipanda.
Hatuwezi kuwa na viongozi wabovu kiasi hiki.
January ni very useless....Ukweli ni kwamba, tangu atutoke JPM, umeme umekuwa ni shida sana hapa Nchini. Umeme unakatika karibu kila siku na kila muda.
Kwa kuwa hali kama hii haikuwahi kutokea wakati wa JPM, tatizo lililopo sasa ni kwamba; wanaoongoza Wizara hii ni wale wezi, wahujumu na walanguzi ambao JPM aliwatupilia mbali. Lakini sasa hao ndo wanaoongoza. Ni shida sana.
Lakini Mungu mkubwa, 2025 siyo mbali sana. Kwa hakika kila mtu atavuna alichikipanda.
Hatuwezi kuwa na viongozi wabovu kiasi hiki.