Nguzo hizi zimeziba barabara na ni three phase ziko hapo sasa kwa muda wa miezi miwili .
Hakuna wa kuzishughulikia, Tanesco wako wanaziangalia wakipigowa simu hawaji wanasema hakuna magari ya kwenda site.





 
Tanesco Mtwara mnakera sana kwa leo tu mmekata umeme kama mara 8,hivi mnataka tuwape maoni gani sasa? Muda huu pia mmekata mbwa nyie.
 
Kuna special thread ya TANESCO hapo juu ambapo huwa wanajibu pamoja maelezo yao yanakuwaga na mawenge Ila unaweza kupeleka hii taarifa lakini hata ningekuwa mimi ndio TANESCO ningekuuliza huko nguzo zilipoanguka ni wapi? Mtaa, wilaya nk.

So ni vema ukaweka hizi information za kutosha ili taarifa yako ukamilike na uwe umetua mzigo wa lawama.
 
hatimae wamenifungia umeme jana toka mwezi wa tisa mwaka jana bado nipambane na mkatiko wa umeme ingawa nina backup ya solar watt 120 naweza nisione madhara ya mkatiko wa umeme
 
Katakata umeme Dsm sasa inaudhi. Waziri Makamba wajibisha Wakurungenzi wa Bodi uliowateua, wanakuangusha.

Update
Mmerudisha umeme tunasubiri mkate tena

Ni Jumapili, tarehe 27/3/2022, muda 14:27, kama kawaida ni umeme kukatika Dar. KAZI IENDELEE ya katakata umeme.

Je, kwa jinsi hii nchi itajengwa nchins kuondokana na umaskini?
 
Katakata umeme Dsm sasa inaudhi. Waziri Makamba wajibisha Wakurungenzi wa Bodi uliowateua, wanakuangusha.

Update
Mmerudisha umeme tunasubiri mkate tena
Nadhani tatizo lipo kwa Makamba mwenyewe,tangu ameingia ofisini umeme limekua ni janga la Taifa,sidhani kama kuna kitu atafanya.
 
Yaan nyie tanesco nimesha choka kila wakati na report issue ya low voltage
, Pia tuna single phase ndo inatembea mtaa mzima matokeo yake umeme unashindwa kuwasha hata music system (voltage below 150v) lakini wapi hakuna utatuzi wala hata kutembelea ku verify changamoto iliyo riportiwa.. eneo letu ni kigamboni-hospital ya kisiwan, huku bondeni kwenye makaburi ya msafwa.

Namba ni 0689783777.. .. we tired with this jaman.. kama issue ni transformer baasi tuweke nyaya za three-phase wengine tuweke umeme huu wa three phase tujue moja.. unarudi nyumban unawasha feni speed ndogo, microwave, air-condition na fridge havifanyi kazi ikishafika mida ya jion. Yaan tabu tu
 
Mnatukosea sana Wilaya ya Sikonge kila siku umeme unakatika tatizo nini? Kama mmeshindwa kuhudumia watu semeni inakuwa kama tunaomba msaada
Sio sikonge tu ni maeneo mengi ya nchi hii kwa sasa kila sehemu ni kilio
 
@ TANESCO huu umeme mnarudisha lini hapa mbezi beach Jogoo? Transformer imebutuka Ila inaonekana umeme hatutapata
 
Hiv ukilipia umeme bank direct,
Na ukilipa Kwa agent wa bank
Kunatofaut yoyote as long as umetoka na risit
Ya malipo? Naomba kujua
 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi tafadhali
 
TANESCO nyie ni washenzi kabisa nimelipia umeme tokea mwaka 2021 mwezi wa 10 lakini hadi Leo sijaunganishiwa ,nguzo naziona zinasambazwa tu mitaani,mie kunipa nguzo moja ndogo ndogo mkaniunganishia umeme hamtaki huu unaisha mwezi wa 5 sijaunganishiwa umeme ,shirika la kipumbavu kabisa hili.
 
Tafadhali onesha umelipia kwa jina gani, namba ya simu , wilaya kwa hatua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…