Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi, tunashukuru kwa pongezi. Tanesco tunaangaza maishaMimi naomba kutoa pongezi kwa Tanesco hapa Dodoma mjini. Ni Mara kadhaa zaidi ya Mara 5 kwa nyakati tofauti nilipiga simu customer service kwa ajili ya huduma za emergency. Kweli kabisa nilipata huduma ndani ya dakika 45- 120 Tanesco emergency walikuwa wameshafika eneo la tukio physically na kunipatia msaada. Kongole Sana Tanesco Dodoma Mjini TANESCO
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, tumepokea taarifa za hitilafu ya miundombinu maeneo hayo, tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza, wataalamu wetu wanafanya jitihada katika zoezi hilo matengenezo yatakapokamilika huduma itarejea.^EBTangu asubuhi huku maeneo ya ngaramtoni Arusha hakuna umeme mpaka muda huu saa tatu kasoro, kwanini mnatutesa hivyo? Kazi zetu zinategemea umeme, mnataka tuishi vipi? 😳 TANESCO
@TANESCO naombeni msaada WA hiyoMaombi haya hayajafanyiwa kazi mteja ameomba mara ya kwanza Hadi amerudia mara ya pili mpaka Leo hajapata msaada naomba msaada tafadhali. View attachment 2746638View attachment 2746640
Mm pia nmelipia zaid ya wik naambiwa na ofis ya mkolan hakuna vifaaHuku kwetu mwanza umeme hatunganishwi kwa zaidi ya wiki tatu umeme na tumelipia shida itakuwa niniView attachment 2747716
Hili Shirika wababu wengi, uzembe upigaji mwingi, mambo hayaendi kama vipi wawape wakolon ( waarabu)Mm pia nmelipia zaid ya wik naambiwa na ofis ya mkolan hakuna vifaa
Hiyo hitilafu inaisha lini? 😳Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, tumepokea taarifa za hitilafu ya miundombinu maeneo hayo, tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza, wataalamu wetu wanafanya jitihada katika zoezi hilo matengenezo yatakapokamilika huduma itarejea.^EB
........Mnaangaza Maisha gani?Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi, tunashukuru kwa pongezi. Tanesco tunaangaza maisha
Habari ya wakati huu ndugu mteja, maombi yako no 240823-2058 na 230723-1152, bado hayaja kamilisha hatua za awali, za kuamabatanisha mchoro wa wiring, hivyo mpatie mkandarasi wako ajaze taarifa muhimu pamoja na kuambatanisha mchoro wa nyumba yako kwenye mfumo ^EB@TANESCO naombeni msaada WA hiyo