Naomba tuwasiliane dmHabari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tangazo hilo ni la kweli na kila Mkoa utafanya mabadiliko kwa utaratibu maalumu, hivyo kwenye Mkoa wako zoezi hili likifika utafahamishwa tafadhali.^OK