Bas huko siha mnapgwa haswaa nnachojua ukilipia nguzo umelipa kila kitu mpaka mpaka ufungaji ila kwenye ukaguz kawaida hua wanataka li 10
 
Bas huko siha mnapgwa haswaa nnachojua ukilipia nguzo umelipa kila kitu mpaka mpaka ufungaji ila kwenye ukaguz kawaida hua wanataka li 10
mmmh yaani huku unalipia kila kitu yaani ishakuwa kero rushwa ipo nje nje utadhani TAKUKURU hawapo
 
Kulipa elfu 30 ni halali, kulipa elfu 27 na laki 2 nguzo iyo wanajua Tanesco mana ndo wanao toa gharama
 
Kulipa elfu 30 ni halali, kulipa elfu 27 na laki 2 nguzo iyo wanajua Tanesco mana ndo wanao toa gharama
Elfu 30 ya mkaguzi ni utapeli surveyor ni muajiriwa wa shirika anatakiwa asipewe chochote anatumia Gari la serikali ila Kuna malipo ya mchoro na contractor ambayo ni nje ya gharama za tanesco ndo mteja anatakiwa kulipa
 
Ongeza earthlod kwenye nyumba yako usiweke moja kama mafundi wa zamani mwambie fundi wako akuwekee tatu na zikae kwa mfumo wa triangle umeme kupotea utapungua na utakaa na kuhusu umeme kutofautiana kwa same amount hua Kuna kua kukatwa Kodi ya pango kama umeanza kukatwa unit zinatofautiana ukienda kituo kikubwa utapewa risiti ukiisoma unaelewa ila kwenye simu ngumu kuelewa
 
Kama Kuna mtu ana changamoto ya umeme alete hapa ntajaribu kutoa maelezo kwa kile ninachokijua
 
TANESCO, Maji ya Chai, USA River, Arumeru, Arusha :
Siku ya jana mmekata umeme asubuhi na kurudisha majira ya saa 5 usiku. Leo pia mmekata pia asubuhi hii hatujui mtarudisha muda. Huu mbona ni mgao mkali sana? Tafadhali tunahitaji umeme ili shughuli zetu za uchumi zisiathirike!
 
Wafanyakazi wenu wanapokuja kutuunganishia umeme hasa unapopewa mita mpya wanadai malipo tena kwa nguvu!! Ndiyo utaratibu wenu ?! Mita si tumelipa kwa control number ?! Hizi wanazodai zinaenda wapi ?! Tena wanadai mpaka 50,000/= !! Tuwekeni wazi hapa.
 
Mkoa Tanga, Wilaya Tanga, kata mabawa B, mtaa Mikanjuni B, eneo maarufu makuburini mwisho, Jana nimeripoti Tatizo kuwa nyumbani kwangu umeme haupo( haufiki kwenye Mita) kutokana na loose connection kwenye nguzo ya Tanesco. Aidha, nimepewa reference number 5217413, hata hivyo mpaka sasa sijapigiwa Simu kuja kutatua tatizo. Namba yangu ya simu 0713673276. I look forward for positive feedback. Shukrani.
 
Tanesco hamuwezi kazi,leo taifa stars inacheza watu ilibidi wakae nyumbani na familia zao waangalie mpira,nyie mnakata umeme,kunduchi hakuna umemd,limekuwa kama shirika la mtu flani na anaamua anavyotaka kuhusu umeme,mnafaidika na nini umeme ukikatika? Kuna watu nahisi wanafaidika na kukatika huku labda
 
Mimi nina wasiwasi hawa wanafaidika na kukatika huku kwa umeme,mbona kipindi cha magu aliwabana na hii hali ikaondoka,tulikaa miaka 3 hakuna hili tatizo,na wakati alipoingia alilikuta akalikomesha,alivyoondoka limeanza tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hakuna mgao hawa ni janja janja tu na hajapatikana mdadisi wa kuwakamata tena janja janja yao
 
Tanesco rudisheni umeme Basi Moshi msaranga tuangalie mechi ya Taifa stars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…