Bas huko siha mnapgwa haswaa nnachojua ukilipia nguzo umelipa kila kitu mpaka mpaka ufungaji ila kwenye ukaguz kawaida hua wanataka li 10Habari za muda huu wana Jamii,
Kuna baadhi ya vitu sivielewi kuhusu hawa TANESCO
1) Mtu unapohitaji huduma ya umeme unatakiwa kununua nguzo?
kwa sababu nikiangalia katika kijiji changu cha NAIBILI (Kilimanjaro wilaya ya Siha) mwananchi anatozwa shilingi 200000(laki mbili ) kununua nguzo , nje ya hapo kuna gharama nyinginezo kama 27000 kwa ajili ya mita bado kuna 30000 kwa ajili ya mkaguzi anayekuja kukagua nyumba yako kama inafaa kuvutiwa umeme.
kwa mantiki hiyo mwananchi anatakiwa alipie zaidi ya Tshs 250000.
Naomba mnieleweshe kama ni halali kwa mwananchi kununua nguzo ili nisije nikajichanganya.
Asanteni.
Naomba kuwasilisha.
Wakikulipa Niko paleeeTanesco umeme wenu umeniunguzia vifaa vyangu vya umeme
mmmh yaani huku unalipia kila kitu yaani ishakuwa kero rushwa ipo nje nje utadhani TAKUKURU hawapoBas huko siha mnapgwa haswaa nnachojua ukilipia nguzo umelipa kila kitu mpaka mpaka ufungaji ila kwenye ukaguz kawaida hua wanataka li 10
Kulipa elfu 30 ni halali, kulipa elfu 27 na laki 2 nguzo iyo wanajua Tanesco mana ndo wanao toa gharamaHabari za muda huu wana Jamii,
Kuna baadhi ya vitu sivielewi kuhusu hawa TANESCO
1) Mtu unapohitaji huduma ya umeme unatakiwa kununua nguzo?
kwa sababu nikiangalia katika kijiji changu cha NAIBILI (Kilimanjaro wilaya ya Siha) mwananchi anatozwa shilingi 200000(laki mbili ) kununua nguzo , nje ya hapo kuna gharama nyinginezo kama 27000 kwa ajili ya mita bado kuna 30000 kwa ajili ya mkaguzi anayekuja kukagua nyumba yako kama inafaa kuvutiwa umeme.
kwa mantiki hiyo mwananchi anatakiwa alipie zaidi ya Tshs 250000.
Naomba mnieleweshe kama ni halali kwa mwananchi kununua nguzo ili nisije nikajichanganya.
Asanteni.
Naomba kuwasilisha.
Elfu 30 ya mkaguzi ni utapeli surveyor ni muajiriwa wa shirika anatakiwa asipewe chochote anatumia Gari la serikali ila Kuna malipo ya mchoro na contractor ambayo ni nje ya gharama za tanesco ndo mteja anatakiwa kulipaKulipa elfu 30 ni halali, kulipa elfu 27 na laki 2 nguzo iyo wanajua Tanesco mana ndo wanao toa gharama
Alipwe na nani fundi wake wa wiring amtafute wamalizaneWakikulipa Niko paleee
Hawa ni kizazi kipya Cha niconekt hawajui watu walikua wanakaa mwaka na pesa ya hongo wanayoWeek 2 unalalamika na uko seriously kabisa?? Na waliokaa mwaka j
e??
Ongeza earthlod kwenye nyumba yako usiweke moja kama mafundi wa zamani mwambie fundi wako akuwekee tatu na zikae kwa mfumo wa triangle umeme kupotea utapungua na utakaa na kuhusu umeme kutofautiana kwa same amount hua Kuna kua kukatwa Kodi ya pango kama umeanza kukatwa unit zinatofautiana ukienda kituo kikubwa utapewa risiti ukiisoma unaelewa ila kwenye simu ngumu kuelewaNimesoma malalamiko mbalimbali ya wateja wa UMEME! mm pia nikapata mstuko na kujaribu kufuatilia! Lkn pia nikasikia majibu yenu juu ya KILICHOITWA - unit za umeme kuisha kwa HARAKA -
Hii hali imetokea hivi karibuni, majibu yenu yalikuwa " hali hiyo inatokea kipindi hiki kwa kuwa wananchi wengi msimu huu wapo MAJUMBANI.
NILINUNUA umeme tarehe 19/12/2023 kwa tsh 20,000/= nikapata unit 51.9 KWH .matumizi ya hapa nyumbani ni
1 - rice cooker
2- pasi ( mara mojamoja jumapili)
3- feni vyumba 2 usiku kucha na mchana .
4- fridge
5- taa za kwenye ukuta ( fensi)
6- Tv
Umeme huu ulidumu siku 8.
Tarehe 27/12/2023 saa 20:32nilinunua tena umeme kwa tsh 20,000/= nikapata unit 42.1KWH
Matumizi yangu yamezidi kidogo kwani nimeongeza FENI jingine hivyo feni ziko 3 zinazokesha.
Fridge nilikuwa nalizima wakati wa mchana sababu ya joto kali lkn hivi sasa linafanya kazi muda WOTE.
Matumizi mengine yamebaki kama kawaida. Leo ni siku ya 10 umeme bado upo.
Tarehe hiyo hiyo 27/12/2023 saa 19:58 nilinunua umeme kwa tsh 20,000/= nikapata unit 56.1 KWH ( huu niliponunua sikuuona nilidhani umeshindikana nimeuona leo kwenye simu)
Kwanini 20 , 000/= unit 51.9 KWH
Kwanini 20 ,000/= unit 56.1 KWH
Iweje 51.9 unit Zitumike siku 8
Halafu 42.1 unit zitumike zaidi ya siku 10
NAWASILISHA
Takukuru wenyewe ndo wanaokula number 1mmmh yaani huku unalipia kila kitu yaani ishakuwa kero rushwa ipo nje nje utadhani TAKUKURU hawapo