reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,813
- 21,807
Fisiemu mkafie mbele.Cheti feki huyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fisiemu mkafie mbele.Cheti feki huyu hapa
Tusharudi kaziniCheti feki huyu hapa
Ndio hasara ya kuishi Mkoani hiyo 😂😂😂Honest am very tired of this country
Wameshachukua umeme wao
Honestly mnakeraa kichizi aseee
JPM uko wapiii Mzee wetuuu
Sasa ivi wanatuchezeaaa tuuuu wanavyotakaaaa
Hii biashara toka umeondokaa is ishakuwa ya ovyoo sanaaa .
Mama nakushaurii mrudishe Kalemanii Wizaranii
Endelea kujipa moyoo wa ovyoo wa kijitia hurumaNa JPM ndo chanzo cha haya yote sasa
🤣🤣🤓Huku umekata mara sita Leo ila bado upo
As i remember alisema inapunguza mgao wka 85%, lakin si kumaliza kabisa. Eneo nilipo haujakatika siku nzimaWamewasha mtambo sijui namba 9?? Hatuna umeme kuanzia saa 10 hii jioni.
Biteko wasemaje?
Wapi?Huku umekata mara sita Leo ila bado upo