TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Nachukua nafasi hii kuutaka uongozi Wa Tanesco Kigamboni ujaribu kuwa makini na utoaji Wa Huduma ya Umeme Kwa Wateja wake.Tanesco Kigamboni wamekuwa wanaongoza Kwa kukatakata umeme karibu mara 2 au 3 kila wiki na baya zaidi hata taarifa Kwa wateja wao hawatoi.

Tunauomba uongozi Wa Tanesco Makao Makuu wauangalie uongozi Wa Tanesco Kigamboni nadhani kuna Shida kubwa.
 
Nachukua nafasi hii kuutaka uongozi Wa Tanesco Kigamboni ujaribu kuwa makini na utoaji Wa Huduma ya Umeme Kwa Wateja wake.Tanesco Kigamboni wamekuwa wanaongoza Kwa kukatakata umeme karibu mara 2 au 3 kila wiki na baya zaidi hata taarifa Kwa wateja wao hawatoi. Tunauomba uongozi Wa Tanesco Makao Makuu wauangalie uongozi Wa Tanesco Kigamboni nadhani kuna Shida kubwa.
Asante Mteja,

Kunamaboresho ya Miundombinu yanayoendelea maeneo ya Kigamboni.

Pia kunaujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme.

Maboresho yakikamilika yataondoa tatizo la kukatika kwa umeme ama umeme kuwa mdogo

Lakini pia huwa tunajitahidi katika kutoa taarifa , mfano hii hapa tulitangaza


SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEMEMKOA WA TEMEKE

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Temeke kuwa kutakuwa na kazi ya maboresho ya miundombinu ya umeme kwa kufanya kazi ya kubadilisha nguzo zilizooza, kuimarisha viungio vya umeme na kukata miti inayogusa njia za kusambaza umeme, iliyolenga kuimarisha ubora na upatikanaji wa umeme Siku ya Jumanne, tarehe 24 Octoba,2017 kuanzia saa 03.00 Asubuhi hadi saa 12.00 jioni

Kutokana na matengenezo hayo baadhi ya maeneo yatakosa umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Kigamboni yote

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:

Dawati la dharura Mkoa wa Temeke 0714485488, 0783360411, 0765654767 au
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400/0768 985 100.

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Barua pepe:
customer.service@tanesco.co.tz

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano kwa wateja
TANESCO-TEMEKE
 
Habari wanajamvi,

Naomba niwasilishe malalamiko yangu kwa Tanesco Mbezi ya Kimara. Kwa muda sasa wamekuwa na tabia ya kukata umeme angalau si chini ya mara 2 au 3 kwa siku.

Mfano kwa leo tu umeme ushakatwa mara 2 toka saa 9 alasiri!!! Je, kuna tatizo lolote linalosababisha kukatika kwa umeme frequently kiasi hiki?

Kero hii inatukumba sana wakazi wa Mbezi kuanzia Kwa Msuguli hadi Kibanda cha Mkaa!!! Tunaomba uongozi ushughulikie hili tatizo. Ni kero kwetu. Mfano kwa sasa umeme umekatika baada ya kurejea mida ya saa 1 usiku!!!

Haipendezi kwa kweli. Imani yangu wahusika watasoma hii post na kutafuta utatuzi wa jambo hili.
 
Asante Mteja,

Kunamaboresho ya Miundombinu yanayoendelea maeneo ya Kigamboni.

Pia kunaujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme.

Maboresho yakikamilika yataondoa tatizo la kukatika kwa umeme ama umeme kuwa mdogo

Lakini pia huwa tunajitahidi katika kutoa taarifa , mfano hii hapa tulitangaza


SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEMEMKOA WA TEMEKE

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Temeke kuwa kutakuwa na kazi ya maboresho ya miundombinu ya umeme kwa kufanya kazi ya kubadilisha nguzo zilizooza, kuimarisha viungio vya umeme na kukata miti inayogusa njia za kusambaza umeme, iliyolenga kuimarisha ubora na upatikanaji wa umeme Siku ya Jumanne, tarehe 24 Octoba,2017 kuanzia saa 03.00 Asubuhi hadi saa 12.00 jioni

Kutokana na matengenezo hayo baadhi ya maeneo yatakosa umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Kigamboni yote

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:

Dawati la dharura Mkoa wa Temeke 0714485488, 0783360411, 0765654767 au
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400/0768 985 100.

Tovuti:www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Barua pepe:
customer.service@tanesco.co.tz

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano kwa wateja
TANESCO-TEMEKE
kuna sehem ipo maneo ya kigambon mbele ya toangoma unaingilia mwembe mtemvu sehem inaitwa mkokozi au lugwadu mlisema mtaleta umeme mwezi wa tatu timeona kimya mkatumbia wa sita kimya tena na sasa mwez wa kumi vp tutegemee lini umeme utakuja maana asilimia kubwa ya wakaz wa huko wanasubir umeme tu
 
Komaeni na tanesco, sisi huku tunaenjoy sana umeme wa mradi wa lea haukati ovyo ovyo, ila poleni sana.
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU KATIKA GRID YA TAIFA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyo unganishwa katika grid ya Taifa imetokea hitilafu leo Oktoba 25, 2017 Alfajiri hivyo kusabisha baadhi Mikoa iliyounganishwa katika grid ya Taifa kukosa umeme.

jitihada zinaendelea kufanyika ili kurejesha umeme katika hali yake ya kawaida na tutaendelea kutoa taarifa.

TANESCO inaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

25/10/2017
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU KATIKA GRID YA TAIFA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mikoa iliyo unganishwa katika grid ya Taifa imetokea hitilafu leo Oktoba 25, 2017 Alfajiri hivyo kusabisha baadhi Mikoa iliyounganishwa katika grid ya Taifa kukosa umeme.

jitihada zinaendelea kufanyika ili kurejesha umeme katika hali yake ya kawaida na tutaendelea kutoa taarifa.

TANESCO inaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

25/10/2017
 
kuna sehem ipo maneo ya kigambon mbele ya toangoma unaingilia mwembe mtemvu sehem inaitwa mkokozi au lugwadu mlisema mtaleta umeme mwezi wa tatu timeona kimya mkatumbia wa sita kimya tena na sasa mwez wa kumi vp tutegemee lini umeme utakuja maana asilimia kubwa ya wakaz wa huko wanasubir umeme tu
Mteja tumelichukua tutakupa mrejesho
 
Habari wanajamvi,

Naomba niwasilishe malalamiko yangu kwa Tanesco Mbezi ya Kimara. Kwa muda sasa wamekuwa na tabia ya kukata umeme angalau si chini ya mara 2 au 3 kwa siku.

Mfano kwa leo tu umeme ushakatwa mara 2 toka saa 9 alasiri!!! Je, kuna tatizo lolote linalosababisha kukatika kwa umeme frequently kiasi hiki?

Kero hii inatukumba sana wakazi wa Mbezi kuanzia Kwa Msuguli hadi Kibanda cha Mkaa!!! Tunaomba uongozi ushughulikie hili tatizo. Ni kero kwetu. Mfano kwa sasa umeme umekatika baada ya kurejea mida ya saa 1 usiku!!!

Haipendezi kwa kweli. Imani yangu wahusika watasoma hii post na kutafuta utatuzi wa jambo hili.
Pole sana Mteja,

Tatizo hili linafahamika na Uongozi jitihada zinafanyika ili kuboresha upatikanaji wa umeme maeneo hayo.

Tumelichukua pia tutalifikisha kwa Uongozi
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUREJEA KWA UMEME KATIKA MIKOA ILIYOUNGWA KATIKA GRID YA TAIFA

Leo Oktoba 25, 2017 majira ya Saa 10:08 Alfajiri ilitokea hitilafu katika Grid ya Taifa iliyosababisha baadhi ya Mikoa iliyounganishwa katika Grid ya Taifa kukosa umeme.

Hadi kufikia Saa 12:09 Asubuhi umeme ulikuwa umerejea katika Mikoa yote isipokuwa Zanzibar ambayo ilipata umeme majira ya Saa 01:00: Asubuhi, hivi sasa Mikoa yote inapata Huduma ya umeme.

TANESCO inaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

25/10/2017
 
Mteja ipo kwa ajiri ya kujibu matatizo yote, utoaji na upokeaji wa taarifa maoni na ushauri pia.

Pengine swali halikuonekana samahani karibu uulize ili upate majibu

Hivi hizi mita za Luku zenye rimoti ziki toa code number ERR - 77 nini maana yake?
 
Ni kwa nini maeneo ya majohe gongo la mboto wilaya ya ilala huwa kuna matatizo ya umeme sana, hasa mvua zikinyesha, cha kushangaza hata inyeshe manyunyu tu ya robo saa umeme utakatika, hili tatizo nimeliona ni muda mrefu sana, sababu hasa ni nini?
 
Ni kwa nini maeneo ya majohe gongo la mboto wilaya ya ilala huwa kuna matatizo ya umeme sana, hasa mvua zikinyesha, cha kushangaza hata inyeshe manyunyu tu ya robo saa umeme utakatika, hili tatizo nimeliona ni muda mrefu sana, sababu hasa ni nini?
Eneo lipi na namba yako ya simu mpendwa mteja
 
Majohe kichangani, au plaza ukienda mpaka maeneo yote yanayozunguka ofisi za serikali ya mtaa. Tumia namba hii 0757617301
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
KATIZO LA UMEME-MKOA WA ILALA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ilala, linawaarifu wateja wake kuwa, kutakuwa katizo la umeme kama ifuatavyo, Siku ya Jumatano na Alhamisi Tarehe 25 na 26 Oktoba, 2017 Saa:03.00 Asubuhi hadi saa 11.00 Jioni. Sababu ni Kuzimwa kwa njia ya umeme ya Msongo wa Kilovolti 132 ili kuwezesha Mafundi kufanya Maboresho ya Miundombinu ya umeme katika Mradi wa TEDAP
Maeneo yatakayo athirika ni pamoja na: Kisarawe, Pugu, Chanika, Gongolamboto, Majohe, Ulongoni, Mongolandege, Kivule, Moshi bar, Mombasa, Staki Shari, Said Mwema, Gogo zembe pamoja na Msongola
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:

Dawati la dharura Mkoa wa Ilala: 022 213 3330, 0784 768586, 0715 76 85 86, 0715-768584 au kituo cha Miito ya simu namba 2194400 or 0768 985 100

Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na: OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO – MAKAO MAKUU.
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KUTOKEA KWA HITILAFU KATIKA GRIDI YA TAIFA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake waliounganishwa katika Mikoa iliyo katika Gridi ya Taifa kuwa majira ya Saa 12:30 imetokea hitilafu kwenye Gridi ya Taifa na kusabisha Mikoa hiyo kukosa umeme.

Jitihada zimefanyika ili kurejesha umeme na baadhi ya Mikoa imeshaanza kupata huduma ya umeme

Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi


TANESCO inaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
www.facebook/twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

25/10/2017
 
Back
Top Bottom