Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo muache kuishi vijijini. Sie waa mjini mbona hawatukatii?Tanesco mnakera sana jana usiku tumelala bila umeme na leo tunalala bila umeme
Washa kibatar mkuuMimi naulizia LUKU jioni hii ni vp? Najaribu kununua umeme naona naambiwa "muamala wangu haujakamilika, nijaribu baadae" Hiyo baadae sijui ni saa ngapi na umeme unaisha??!
Tumepokea mtejaMimi nina tatizo katika rimoti ambayo mita yake ni no. 24217849173 tuna miezi 6 tu toka umeme uingie na sasa aiwaki taa ya kijani na ina leta meseji ERR- 77 ili ni tatizo gani? Tukiingiza yuniti za umeme hazi ingii, siku tatu sasa. Naomba kujuzwa
Bonyeza 0nambaya mita0namba ya mita ok kisha itaandika good kisha ingiza umeme wakoMimi nina tatizo katika rimoti ambayo mita yake ni no. 24217849173 tuna miezi 6 tu toka umeme uingie na sasa aiwaki taa ya kijani na ina leta meseji ERR- 77 ili ni tatizo gani? Tukiingiza yuniti za umeme hazi ingii, siku tatu sasa. Naomba kujuzwa