Nimelipia umeme kwa njia ya bank (320,960.00)ajili ya kuunganishiwa kwenye nyumba yangu (service line cost) tangu tarehe 04/10/17. Nikaambiwa nisubiri ndani ya siku 30 nitakuwa nimeunganishwa.

Cha ajabu ni kwamba kuna majirani ambao nililipa nao bank siku moja wao wamewekewa umeme tayari mimi mpaka Leo hii kimya! Kuna tofauti gani kati yangu mm na wao wakati tumelipa siku moja na tunaishi mtaa mmoja na nguzo ipo umbali wa mita 9 tu. Naombeni majibu TANESCO

Nipo kigamboni mtaa wa magogoni makaburini.

Jina :ALLY SHABANI SHOMARI SHOMARI

Namba ya simu: 0717 305 301
 
Tumeipokea mpendwa mteja, utafungiwa umeme kama ambavyo tulikuahidi
 
Km upo DSM na unaishi maeneo ya chanika ama unapiga job maeneo hayo na unakerwa na ukatikaji wa huduma ya umeme pasipo na taarifa yoyote njoo hapa tujadili
 
Kumekuwa na kukatika kwa umeme maeneo ya Kcmc kwa kupokezana wengine wanapata umeme mchana mpaka jioni yasaa moja na kukatika then maeneo mengine kupata kuanzia muda huo baada ya kuukosa kutwa nzima! Je tatizo ni nini?
 
Habari Tanesco sisi ni watanzania wazalendo ambao tunalipenda shirika letu na tunalitakia mema sana sasa kuna mradi umefanyika kijiji cha michenga wilaya ya Ruangwa mradi huu una nguzo 13 na t/f 1 malipo yaliyofanyika ni kwa mradi tu wa nguzo 11 gharama za mita pamoja na nguzo 2 hazijalipiwa na mita imeshafungwa site tayari hii ni kwa mujibu wa walionipa hii taarifa namba ya mradi ni t062630
 
Tunaomba namba yako ya simu na unachoulizia haswa
 
Tunaomba namba yako ya simu na unachoulizia haswa
malalamiko yetu ni kuwa kuna mazingira ya rushwa ktk mradi husika maana malipo hayajakamilika lakini mradi umekamilika na mteja anatumia umeme pasipo malipo kukamilika
 
Mm nawashukuru tanesco kwa kuja JamiiForums kuongea na watu hapa muendelee na moyo huu huu hongereni sana
 
Umeme umekatika saa 12 jioni maeneo ya kijichi hadi sasa hakuna taarifa zozote mnaa maana gani kukaa kimya?

Hebu kuweni na mfumo wa kuwajulisha wateja wenu hata kwa sms kuwa umeme umekatika kwa sababu gani na utarudi saa ngapi ili wateja wenu tujue.
 
Tanesco. Hongereni Sana. Kazi mliopewa mnaifanya kwa uweledi.
SAA tisa usiku. Mnakata umeme.mnataka tuibiwee.
 
Umeme umekatika saa 12 jioni maeneo ya kijichi hadi sasa hakuna taarifa zozote mnaa maana gani kukaa kimya? Hebu kuweni na mfumo wa kuwajulisha wateja wenu hata kwa sms kuwa umeme umekatika kwa sababu gani na utarudi saa ngapi ili wateja wenu tujue.
Umeme ulrejea saa mbili na dakika arobaini usiku kama bado hauna umeme tunaomba namba yakonya simi na eneo lako
 
Tatizo langu ni king'amuzi cha kuingizia umeme, nimeripoti lakini walikuja wakachukua no ya king'amuzi sijapata jibu, niendelee kushindia giza? Nimuone nani atatae tatizo? Ingekua nafanya biashara ni hasara kwa TRA kwani hawapati haki yao.
 
Tatizo langu ni king'amuzi cha kuingizia umeme, nimeripoti lakini walikuja wakachukua no ya king'amuzi sijapata jibu, niendelee kushindia giza? Nimuone nani atatae tatizo? Ingekua nafanya biashara ni hasara kwa TRA kwani hawapati haki yao.
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya taarifa
Namba ya simu
Namba ya mita
Tatizo
Tunaomba hizo taarifa
 
Mkoa ,Wilaya ya Bagamoyo, Kata ya Kerege, kutuo -Kerege CCM . Nilisharipoti mara mbili Tanesco - Bagamoyo, no ya mita 24211016928 .Tatizo umeme hauingii ninaambiwa error 00 nikitafuta salio error 01 hilo ndilo tatizo nawaomba msaada
 
Mkoa ,Wilaya ya Bagamoyo, Kata ya Kerege, kutuo -Kerege CCM . Nilisharipoti mara mbili Tanesco - Bagamoyo, no ya mita 24211016928 .Tatizo umeme hauingii ninaambiwa error 00 nikitafuta salio error 01 hilo ndilo tatizo nawaomba msaada
Tunaomba taarifa zote tulizokuomba hapo juu mkuu
 
No ya taarifa, nilienda mara mbili sijui waliandika taarifa gani, no ya simu 0755282346
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…