Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOHili shirika kichefuchefu,Jana tumeshinda bila umeme maeneo ya kipunguni mashariki na ni nyumba chache tu majirani wanapatA wengine hawapati,likawa solved jioni take kesho yake,watupa mgongo tena, hivyo sasa doro tena
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOHivi muda huu umeme hamna Tegeta
Dharura zenu zinakuwaje
Mimi yangu wala hayafanyiwi kazi,Tangu mwezi wa tatu mpka leoAsante kwa mrejesho huo, na kwa niaba ya Shirika tunaomba radhi kwa hilo ndugu mteja
nakumbushia yale maombi yetu wakaz wa lugwadu wilaya ya mkuranga kata ya mkokoz tumekuwa watu wa kuahidiwa tokea mwezi wa tatu mwaka huu tuliambiwa tutaletewa umeme hadi leo vp maendeleo je tutapata umemeMFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO
1.JINA.....................................
2.SIMU....................................
3.MKOA...................................
4.WILAYA................................
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........
6.JINSI YA KUFIKA................
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................
8.NAMBA YA MITA................
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
Ndugu mpendwa mtejanakumbushia yale maombi yetu wakaz wa lugwadu wilaya ya mkuranga kata ya mkokoz tumekuwa watu wa kuahidiwa tokea mwezi wa tatu mwaka huu tuliambiwa tutaletewa umeme hadi leo vp maendeleo je tutapata umeme
415k,Tangu mwezi wa tatu mwaka huuUmelipa tsh ngapi na lini mpendwa nteja
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mtejaTANGU TAREHE 27.10.2017 UMEME UMEKUWA WA MAJANGA MTAA WA KUNDUCHI MTONGANI BAADHI YA NYUMBA UMEME UNAWAKA NA KUKATA KILA SEKUNDE TUMETOA TAARIIFA MAJIBU YA TANESCO HAYARIDHISHI KWAMBA MPAKA MAJI YAKAUKE NDO WATAINGIA KWENYE TRANSFOMA WATENGENEZE UMEME
TUNATAKA KUJUA KAMA MVUA ITAENDELEA HATUTAREKEBISHIWA UMEME ?
KWANINI MENEJA WA MAENEO HAYO ASIFUKUZWE KAZI KWA KUHATARISHA MAISHA YA WAKAZI WA HUKO NA PIA KUTUWEKA KWENYE HATARI YA KUUNGUZIWA MALI ZETU NA NYUMBA ZETU? TANESCO NAJUA MNAPITA HUKU SISI TUTAMTAFUTA WAZIRI NA AKISHINDWA TUNAMPANDIA HADI MAGUFULI SISI NI WALIPA KODI NA HUU UMEME NI HAKI YETU
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja
Nataka kuanzisha shirika la ugavi umeme yawe mawili Tanzania , nifanye mchakato upi kukamilisha zoezi zima?Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja
Tanesco tanesco this is too much jamani utadhani tupo vijijini, tumeshinda bila umeme umewaka dakika kumi mmekata tena mnachosha jamani na mtaunguza vitu vyetu aaagrrrTunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja
Mombasa UkongaSehemu gani mkuu