Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kunijibu.Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja ili tuwasiliane
Msije kuwa mnanipa moyo tu hapa.kiukweli leo sitoki nawasubiri nyie tu hapa.ninechoka kulala gizaTumepokea mpendwa mteja
Nafikiri feedback ni nzuri ikiwa toka pande zote mbili. Mmeweka huu uzi kujua malalamiko yetu, maoni, maswali na pia ushauri.TANESCO hii imekaa poa, mnapambana sana japo kuna mwonekano flani km hamfanyi kitu ila nimechunguza nimeona mnafanyakazi ktk mazingira magumu sana, endapo km mngekuwa na vitendea kazi vilivyojitosheleza mngekuwa shirika bora km la South Africa nk...
Pigen kelele serikali iwawezeshe hasa magari makubwa ya kazi na baadhi ya vitu vichache mtakuwa mmemaliza.
Mmmhhh namba naogopa kwa kuwa huyu mtu ni hatari sana ila ninachiweza kuwasaidia nitawaelekeza na mtafika hapo.Tunaomba namba yako ya simu ili tuwasiliana na kufika eneo lako mara moja
Watumie tanesco details inbox, wakupe zawadiMmmhhh namba naogopa kwa kuwa huyu mtu ni hatari sana ila ninachiweza kuwasaidia nitawaelekeza na mtafika hapo.
1.Kiwanda kilipo;mbele ya frem za Maduka ya serikari ya mtaa wa ndumbwi kata ya mbezi juu.
2.kiwanda kipo mkono wa kulia ukiwa unatokea kanisa katoriki mt dominical
3.waya ulipopita ukiwa unazingalia hizo frame kuna frem ya 13 kama sikosei kuna mtu anauza kitimoto karibu na hapo kuna bar ya Felix sasa basi kabla ujafika kwenye hiyo hapo wanapotengeneza kitimoto kuna nguzo ya umeme sasa kutoka hapo ndio wamechimbia waya chini umevuka barabara kwenda kwenye hicho kiwanda. Cha kuwasaidia zaidi nitawatafutia namba ya mtu aliyehusika kupitisha huo waya ,mmiliki mwenye kiwanda .pia nitakutumia barua ya malakamiko kutoka kwa wamiliki wa maduka .nipeni muda.
tarehe 07/11/17<br />muda : 15:10 alasiri<br />kiasi : 10000<br />namba : 0687237985<br />mita : 22124473921<br /><br /> namba token sijapokeaPole kwa usumbufu ndugu mteja, tunaomba namba ya simu Ilituweze kukufikia.
mi sijapokea umeme nalala giza.... mawasiliano 0787198206Ndugu mteja unaweza kutupatia namba yako ili tukupatie maelekezo sahihi ya hizo mita
nimeshawatumia details zote shida nini tena tangu saa 9 mchanami sijapokea umeme nalala giza.... mawasiliano 0787198206
fanyeni ubinadamu basi .. nasubirinimeshawatumia details zote shida nini tena tangu saa 9 mchana
tarehe 07/11/17<br />muda : 15:10 alasiri<br />kiasi : 10000<br />namba : 0687237985<br />mita : 22124473921<br /><br /> namba token sijapokeafanyeni ubinadamu basi .. nasubiri