Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu mpendwa mtejaKuna tetesi kuwa kufuatia kuanza kuvunjwa kwa ofisi zenu.ubungo,kutakuwa na uhaba wa luku units. Nimejaribu leo kununua kwa mpesa naona kweli imegoma na hela imeeudi, je ni kweli?
Sawa,lakini mpaka muda huu nimeshindwa kununua umeme kwa mpesa na nilipo hakuna maxi malipo wala selcom. Kuna uhusiano na hizo tetesi?Ndugu mpendwa mteja
Hakuna usahihu wowote wa tetesi zako tunakusii endelea kupokea taarifa rasmi kutoka vyanzo vyetu rasmi na sio kwa kila mtu
Naomba kufahamishwa,taratibu za kuvuta umeme zikoje,nilipo zinatakiwa nguzo tatu,last week nilienda ofc za tanesco MKOA,nikauliza majibu yake mpaka Leo sielewii..
Wanadai,nguzo mi bure sema zimeisha,lakin naona majirani zangu,nguzo zinachimbiwa,tofauti yangu NA majirani zangu wao ni wanajeshi,mi mkulima WA kilimo cha kujikimu..
Umeme umerejea kama kwako badomtunaomba namba yakomya simuKwanini mmekata umeme tokea saa 4 asubuhi leo hadi sasa haujarudi? Ni Mbezi Beach. Jana mchana hivyo hivyo. Juzi pia. Kwanini inakuwa kila siku sasa umeme unakatika ghafla bila taarifa? Sababu ni nini?
Mteja anaruhusiwa kulipa kwa awamu tatu lakini atafungiwa mara baada ya kumaliza malipo yoteMimi nawashauri muanzishe mfumo wa kuwafungia umeme baada ya kulipa nusu ya gharama halafu nyingine mtu amalizie kwa muda wa miezi kadhaaa baada ya kufungiwa maana mtu hatakubali kukatiwa,na mtapata wateja wengi tu au mtu kama ana nia na anahitj umeme mfungieni alipe taratibu baada ya muda wa hata miezi mi3.Fanyeni hii km kweli mnataka kukuza wigo wa mapato na huduma.Asante
Bado haujarudi. Sielewi kwanini mnakata kila siku. Leo ndiyo umekatika muda mrefu kuliko siku nyingine. Kama mgao umeanza kwanini msitutaarifu ili tujipange? Kwa kweli imekuwa kero kubwa sana umeme kukatika ghafla tu bila taarifa siku mfululizo.Umeme umerejea kama kwako badomtunaomba namba yakomya simu
Kwa mujibu wa sheria ya aridhi ya mwaka 1999 kifungu cha 3 rais ndiye mwenye mamlaka dhidi ya aridhi kwa niaba ya Watanzania wote hivyo pamoja na kuwepo sheria yeye anaweza kuamua kubadili matumizi ya aridhi kutoka matumizi aina mojamkwenda nyingineTanesco bhanaa. Nimesikia Leo mnajinasibu kuwa mnatekeleza agizo la mh rais. Nikacheka Sana.
Nikajiuliza.
Mnatekeleza agizo la mh rais au mnatekeleza sheria ya nchi?
Na sheria ya kutokujenga ndani ya hifadhi ya barabara. HAINA NGUVU KWA RAIS.?Kwa mujibu wa sheria ya aridhi ya mwaka 1999 kifungu cha 3 rais ndiye mwenye mamlaka dhidi ya aridhi kwa niaba ya Watanzania wote hivyo pamoja na kuwepo sheria yeye anaweza kuamua kubadili matumizi ya aridhi kutoka matumizi aina mojamkwenda nyingine
Hilo jengo la makao makuu ubungo ni la mtu binafsi au ni mali ya serikali?Kwa mujibu wa sheria ya aridhi ya mwaka 1999 kifungu cha 3 rais ndiye mwenye mamlaka dhidi ya aridhi kwa niaba ya Watanzania wote hivyo pamoja na kuwepo sheria yeye anaweza kuamua kubadili matumizi ya aridhi kutoka matumizi aina mojamkwenda nyingine