TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hapa kariakoo umeme umekatika na sijajua sababu ya kukatika kwa umeme,mafundi simu leo ni kukopa tu vya watu, mnawasabishia madeni wafu,vinyozi nao sijui inakuwaje
 
Hapa kariakoo umeme umekatika na sijajua sababu ya kukatika kwa umeme,mafundi simu leo ni kukopa tu vya watu, mnawasabishia madeni wafu,vinyozi nao sijui inakuwaje
Eneo gani na namba ya simu mkuu
 
Ttizo hili limerudia tena! tunaomba solution ya kudumu tafadhali. Kawe mikoroshini, nguzo iliyoko hospitali ya Usambara inatoa cheche na umeme unazima na kuwaka. Nyumba moja hauwaki kabisa. Tunaomba msaada tusije pata madhara makubwa.
 
Hapa kariakoo umeme umekatika na sijajua sababu ya kukatika kwa umeme,mafundi simu leo ni kukopa tu vya watu, mnawasabishia madeni wafu,vinyozi nao sijui inakuwaje
Mtaa gani na namba yako ya simu mpendwa mteja
 
Hii inategemea na kiasi cha deni ulilonalo mfano unadai 10m kwa mwezi unanunua umeme wa 5000 itakuchukua miaka mingapi kumaliza deni
Kwahiyo ni bora tukae kizan?kutokana na kipato chetu ni ngumu kumudu hizo gharama,mnatusaidiaje?
 
Kwahiyo ni bora tukae kizan?kutokana na kipato chetu ni ngumu kumudu hizo gharama,mnatusaidiaje?
Ushauri wetu ni wateja wasilimbikize madeni kwa kuwa hii inawahusu wenye madeni tu
 
Jamani kama kuna mtu anafanyazi tanesco naomba anisaidie kujibu hili natako kujua mimi kuna mita ya luku iliachwa kununuliwa umeme mda kidogo sasa nataka niifufue sasa ili niitumie swali ni nikitaka kujua nadaiwa kiasi gani nafanya je msaada plz [emoji1505][emoji1505][emoji1505][emoji1505][emoji27]
 
I say that nyie mnaojiita tanesko msikate umee tabora right now but I want to watch series we iita Jumong
 
Mtu wa tanesco akijitokeza hapa sijui kama ataachwa salama na huduma zao mbovuuuuuu
 
mita : 22124220264
kiasi ; 10000
tarehe : 17/12/17
muda : 0915 am
namba: 0687237985

naomba token hapo
 
Back
Top Bottom