TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Nyumba yangu iko ukonga, meter no. yangu. ni 24219542842, ni nyumba ya wapangaji, walichokonoa luku, nimelipa laki 450,000 mmerudisha umeme, lakini unit mnaniuzia Kwa bei kubwa maana nalipa nikiwa mkoani, unit moja nimejaribu kununua mpesa, 500 napata 0.4 unit! Hii sio haki, hata kama na riba itoeni! huwa hatuendagi hivyo! Hat dangote hanunui umeme kwa bei hiyo! Jina la meter ni aloyce ryoba. Hata tarrif 3 hawalipagi hivyo. 0765825819
Ila nililipo lipa mliniambia imebaki laki 8, tena a makao makuu! Au hata hapo hela zinavujiaga njiani kama mnavyotuambia kwenye wiring ya umeme!? Risiti zote nnazo, japo nilipitisha grease kidogo kupooza vyuma!
 
Kikubwa nilichokuwa nikiomba kwenu, ni kutolewa/ama kupunguziwa riba kwenye hili deni, vyuma vimekaza! Kweli katika umeme Wa 500 tu mnakata 375! Sawa na 75%! Hii si rafiki kabisa Kwa mteja wenu, wekeni japo nusu kwa nusu makato, naumia! Hali yenyewe mnaijua, au japo mkate 45% naomba ndugu zangu.
Utaratibu ni kuwa ukiweza kulipa deni lote mara moja unaondolewa riba
 
Utaratibu ni kuwa ukiweza kulipa deni lote mara moja unaondolewa riba
KWELI NIMEAMIN MTOTO ANAFATA TABIA ZA BABA! MAJIBU YENU SAME SAME MAGUFULI! HILI NI JIBU LA KUMJIBU MTEJA KWELI?! KIRAHIC
 
Tanesco meter separation Luku ndani ya nyumba moja Temeke maghorofani inagharimu shilling ngapi?, wiring tayari 0628561412
 
Habari mimi naitwa Molly Mohamed Rutenge, naomba kupata ufafanuzi kuhusu wakazi tunaoishi Chamanzi, kuna maeneo yalishapelekewa umeme lakini maeneo mengine hatuna umeme, je kuna mkakati gani ai mpango ganiwa kukamilisha kusambaza umeme kwa wakazi wote Chamanzi?
 
Habari mimi naitwa Molly Mohamed Rutenge, naomba kupata ufafanuzi kuhusu wakazi tunaoishi Chamanzi,kuna maeneo yalishapelekewa umeme lakini maeneo mengine hatuna umeme,je kuna mkakati gani ai mpango ganiwa kukamilisha kusambaza umeme kwa wakazi wote Chamanzi?
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Habari zenu ndugu wana jf,katika siku ya leo sie tuishio maeneo ya Ilala leo tangu asubuhi ya saa 3 mpaka muda huu umeme haujarudi,na hatujajua ni kitu kimesababisha mpaka umeme kutokurudi ili hali sie wengine kazi zetu tumejiajiri wenyewe pasipo na umeme hatuwezi fanya lolote na pia tuna familia nazo zinahitaji kula,Tanesco ya Ilala mtupunguzie basi haya makali ya umeme kukatika muda mrefu
 
za kazi ndgzangu wa tanesco. NAWASHANGA KWA KWELI. niliwauliza kuhusu kubadilishiwa tariff kutokana na matumizi yangu, mkanipa maelekezo, nimefuta maelekezo yenu sasa ni mwezi wa pili hakuna msaada wowote, fomu nimejaza namba ya simu nimeacha kwenye fomu, na fomu zile haziko wazi zaidi kutambua eneo husika analoishi mteja , nikajua ile namba ya simu itawasaidia , BAADA YA KUONA KIMYA NIKAWAULIZA TENA HUMUHUMU , NPIA MMEPIGA KIMYA .au hili zoezi halifanyiki bila kutoa chochote........?
 
Bado ipo kwenye uhakiki mkuu
uhakiki upi ......? nina ndg yangu huko tanesco idara hiyo hiyo bali yeye yuko mkoani , ananiambia zoezi hilo halichukui zaidi ya siku mbili baada ya kufuatiolia matumizi ya mteja ,. ninyi huo uhakiki mnaufanya kwa kutazama jua.......? mbona kila kitu ni software.........?
 
Habari zenu ndugu wana jf,katika siku ya leo sie tuishio maeneo ya Ilala leo tangu asubuhi ya saa 3 mpaka muda huu umeme haujarudi,na hatujajua ni kitu kimesababisha mpaka umeme kutokurudi ili hali sie wengine kazi zetu tumejiajiri wenyewe pasipo na umeme hatuwezi fanya lolote na pia tuna familia nazo zinahitaji kula,Tanesco ya Ilala mtupunguzie basi haya makali ya umeme kukatika muda mrefu
Ilala kuna watu walikuwa wamesababisha hitilafu hatua kazi zinachukuliwa
 
za kazi ndgzangu wa tanesco. NAWASHANGA KWA KWELI. niliwauliza kuhusu kubadilishiwa tariff kutokana na matumizi yangu, mkanipa maelekezo, nimefuta maelekezo yenu sasa ni mwezi wa pili hakuna msaada wowote, fomu nimejaza namba ya simu nimeacha kwenye fomu, na fomu zile haziko wazi zaidi kutambua eneo husika analoishi mteja , nikajua ile namba ya simu itawasaidia , BAADA YA KUONA KIMYA NIKAWAULIZA TENA HUMUHUMU , NPIA MMEPIGA KIMYA .au hili zoezi halifanyiki bila kutoa chochote........?
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
TANESCO boresheni huduma kwatunao nunua umeme kwenye simu

Mimi niko kanchi jirani nimependa sana mfumo wao wa kununua umeme kwa njia ya simu hivo ningependa hii huduma itumike hata kwetu iko hivi :-

Unapo fanya muamala kwa mara ya kwanza mtandao hukuhitaji kuweka namba mita ukisha kamilisha muamala wako namba inasajiriwa kwenye mufumo hivo kila ukitaka kununua umeme hautajitaji tena kuingiza namba ya mita utakuta jina lako unachagua unaendelea kufanya muama wako.

Mfano
758c5f1cac1c1068e11e9575c076fcb5.jpg


0ca4850c2988e9c64391b233bbbcd0d0.jpg


39d08e7fc5f6f96f600ffe2c26b11b16.jpg


3f6c48feb2de9dabea97e195732effe8.jpg


6248087427f765a8b1017199bd07a6eb.jpg


Nb. Hata ukitaka kuangalia umeme ulio nunua kwa mara ya mwisho unapata details zote kwa kupitia m pesa
Kwa niaba ya TANESCO napenda nikujibu ushauri au maswali yako yenye sehemu A Na B kama ifuatavyo;
Kuhusu namba ya mita kuhifadhiwa automatically kwenye simu mara baada ya kufanya transaction ili siku nyingine usiingize tena namba ya mita, unaweza kufanya mwenyewe.
Kwa mtandao wa voda bonyeza *150*00# chagua 7 My account, Chagua Pay bill references, kisha chagua no 1 LUKU, chagua 1 add ingiza no ya mita, kisha no ya siri ya mpesa.
Baada ya hapo hutahitajika tena kuingiza namba ya mita unapobunua umeme. Na kuhusu uliposema
[/QUOTE]
Hata ukitaka kuangalia umeme ulio nunua kwa mara ya mwisho unapata details zote kwa kupitia m pesa[/QUOTE]
Ndiyo hilo linawezekana. Kupitia airtel money unaweza kupata taarifa za miamala hadi mitano (including token) kwa kubonyeza *150*50*345#
 
Tafadhali mpendwa mteja acha kutia wateja wetu hofu umeme upo vizuri kama wewe hauna umeme tupatientaarifa zako

MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
Mnadnganya
 
Mbona hamjakata umeme uku mwananyamala, mwezi sasa unakatika tunataka blackout!
 
Habari za leo. Nimetuma maombi kupatiwa umeme kwa ajili ya fremu ya biashara ofisI zenu pale KISARAWE.

Mimi nipo KIGOGO SOKONI karibu na kituo cha treni cha MWAKANGA tangia mwaka jana mwezi wa kumi sijapata surveyor. nimewasilisha mchoro na kulipia gharama ya faili. sihitaji nguzo kwenye eneo langu. waya upo karibu. nimefika mara nyingi bila msaada naomba nisaidiwie. namba ya dharura nimepiga bila mafanikio.

jina la file; Matilda Njau
simu 0713683422
 
Habari za leo. Nimetuma maombi kupatiwa umeme kwa ajili ya fremu ya biashara ofisI zenu pale KISARAWE. Mimi nipo KIGOGO SOKONI karibu na kituo cha treni cha MWAKANGA tangia mwaka jana mwezi wa kumi sijapata surveyor. nimewasilisha mchoro na kulipia gharama ya faili. sihitaji nguzo kwenye eneo langu. waya upo karibu. nimefika mara nyingi bila msaada naomba nisaidiwie. namba ya dharura nimepiga bila mafanikio.
jina la file; Matilda Njau
simu 0713683422
Tumepokea kwa ufatiliaji mpendwa mteja
 
Back
Top Bottom