TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Sijui niseme kuwa ni kutupuuza wateja wenu au ndiyo sera ya shirika,, nimekuwa nikiriporti tukio la nguzo yenu moja iliyooza kabisa na kubaki ikiwa ndani ni kisuguu kabisa katika mji mdogo wa Ngerengere na matokeo yake si site supervisor wala Chalinze, suboffice kuchukua hatua ya kuepusha tahadhali hii.

Nguzo ni server ya main line inayoenda kituo cha Afya Ngerengere ikitokea substation ya hapa Ngerengere.

Nauliza mnasubiri nini kitokee hata nguzo hii ibadilishwe
Inasikitisha sana
 
Sijui niseme kuwa ni kutupuuza wateja wenu au ndiyo sera ya shirika,, nimekuwa nikiriporti tukio la nguzo yenu moja iliyooza kabisa na kubaki ikiwa ndani ni kisuguu kabisa katika mji mdogo wa Ngerengere na matokeo yake si site supervisor wala Chalinze,suboffice kuchukua hatua ya kuepusha tahadhali hii.
Nguzo ni server ya main line inayoenda kituo cha Afya Ngerengere ikitokea substation ya hapa Ngerengere . Nauliza mnasubiri nini kitokee hata nguzo hii ibadilishwe
Inasikitisha sana
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*

-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*

-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
Tunaomba taarifa kamili mkuu tukuhudumie
 
Tunaomba taarifa kamili mkuu tukuhudumie
Wasili Ngerengere kagua nguzo ninayoisema ipo katika line itokayo kituo cha Afya Ngerengere au nenda post yenu ya Ngerengere Muulize site manager kuhusu nguzo hii unataka nijaze form ipo. ??
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA................................

2.SIMU...............................

3.MKOA.............................

4.WILAYA..........................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................

10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................

*Zingatia*

-Kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme

-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme

-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Hebu tuelewane hii nguzo ninayoizungumzia si nguzo ya MTU Bali in nguzo itoayo huduma zaTANESCO (fider) hivyo mm kama RAIA na mteja nisiyependa ajali zinazoweza kuepukika nimekuelezeni kuwa nguzo hii ni hatari kwa kuwa imeoza na several times tumetoa taarifa hapa Ngerengere na Chalinze respectively. tayari ninahakika kabisa taarifa mnayo sasa kabla haijasababisha maafa njooni muibadilishe hakuna jingine
 
Hebu tuelewane hii nguzo ninayoizungumzia si nguzo ya MTU Bali in nguzo itoayo huduma zaTANESCO (fider) hivyo mm kama RAIA na mteja nisiyependa ajali zinazoweza kuepukika nimekuelezeni kuwa nguzo hii ni hatari kwa kuwa imeoza na several times tumetoa taarifa hapa Ngerengere na Chalinze respectively. tayari ninahakika kabisa taarifa mnayo sasa kabla haijasababisha maafa njooni muibadilishe hakuna jingine
Ndio maana tumekuomba taarifa zako ili kupitia wewe wataalamu wetu wafike eneo husika mkuu
 
Nipo Ofisi mojawapo ya Tanesco hapa DSM kufuata form ya maombi ya kufungiwa umeme lkn nimeambiwa nikae foleni na ni nusu saa sasa hakuna hata mtu mmoja aliyepewa form.

Sasa najiuliza yaani form tu zinachukua muda hivi? Kwa nini zisiwe printed kabisa ili mteja akifika anapewa tu. Ufafanuzi tafadhali kabla hatujachukua hatua mbaya!
 
Nipo Ofisi mojawapo ya Tanesco hapa DSM kufuata form ya maombi ya kufungiwa umeme lkn nimeambiwa nikae foleni na ni nusu saa sasa hakuna hata mtu mmoja aliyepewa form. Sasa najiuliza yaani form tu zinachukua muda hivi? Kwa nini zisiwe printed kabisa ili mteja akifika anapewa tu. Ufafanuzi tafadhali kabla hatujachukua hatua mbaya!
Upo ofisi gani na namba yako ya simu tafadhali. Je kuna foleni
 
Nipo Ukonga Magereza. Foleni ipo ya watu lkn haiendi. Dada anasema form anazitoa 'kwenye system'. Tusaidieni jamani, tutumie siku nzima kuchukua form tu?
Tumepokea taarifa mkuu
 
Asa mbona mnakatakata umeme asubuhi jamani,hebu rudisheni kwanza ninyooshe viwalo nina apointment muhimu leo
 
Nimefurahishwa na immediate response yenu. At least you've shown me that this page isn't here for nothing! Keep it up!
 
Wqkqzi wa madale kisauke kama unawnda kwa mzungu tupo kisiwani kabisa, tanesco oneni aibu jamani mwaka wa tano huu hakuna umeme chaajabu mitaa yajirani upo huku inashindikana nini sasa??

Mbona mnaenda kinyume na maagizo ya mh Rais wetu?? Au mnamuhujumu??
 
Wqkqzi wa madale kisauke kama unawnda kwa mzungu tupo kisiwani kabisa,tanesco oneni aibu jamani mwaka wa tano huu hakuna umeme chaajabu mitaa yajirani upo huku inashindikana nini sasa?? Mbona mnaenda kinyume na maagizo ya mh Rais wetu?? Au mnamuhujumu??
Unamaanisha umeme naujawafikia? Tunaomba namba yako ya simu tutakukulisha
 
Mkuu leo nimenunua umeme kwa tigo pesa toka saa 11. 27 asb hadi muda huu sijapata unit, meter namba 37135306076 wa shs 14000 kumbukumbu 60423469867. Kuna tatizo gani?
 
Tunashukuru sana mpendwa mteja
Tanesco mmeshachukua umeme wenu wa mawazo saizi tumelala viyoyozi vimezima kuna tatizo gani usiku huu mpaka mmeamua kukata umeme?

Tupo huku toangoma nyumbani kwa mh majaliwa eneo lote la TOANGOMA ni giza kuna tatizo gani?

Turudishieni umeme mnatusumbua kila siku usiku ndio mnakata why?

Leo nasubiri nione kama hamjarudisha namjulisha Mh majaliwa ili awashughulikie.
 
Ndio maana tumekuomba taarifa zako ili kupitia wewe wataalamu wetu wafike eneo husika mkuu
Utanipata kwa kupitia
Mji mdogo Wa Ngerengere
Nguzo husika in ya 4 kutoka kituo cha Afya Ngerengere kwa line inayotoka substation . nakupeleka umeme kituo cha Afya na Manisa katoliki .hii nguzo IPO mbele ya duka la madawa A man na Guest house mpya ijulikanayo kwa jina la MASURURA
 
Back
Top Bottom