Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hawaja-upgrade mifumo yao.Aisee najaribu kununua umeme lakini haiwezekani nimenunua kwa m pesa nimeshindwa nikaenda selcom napo wameshindwa na maxmalipo pia sijuw nifanyeje
Nunua kwa tigo pesa Mkuu. Nimenunua LUKU muda si mrefu umekubali. M pesa imegomaHeri ya pasaka wana-jf. Naomba mnisaidie mawazo ni wapi umeme wa luku unapatikana leo maana kwenye mpesa naona huduma haipo muda huu. Nikilaza watu gizani leo hawatanielewa.
Nimeshanunua kupitia Tigo pesa lakin had sa hiv sijapata token yaani ni shida tupuuuLabda hawaja-upgrade mifumo yao.
Una muda gani?? Jama nami zilinizingua kwa muda kisha hela ikarudi, ila ilikuwa simbanking!Nimeshanunua kupitia Tigo pesa lakin had sa hiv sijapata token yaani ni shida tupuuu
sasa hivi au?Nimenunua kwa M Pesa na imekubali
mkuu kuna ada wamekukata mbali na hela ya huo umeme mm nimenunua hapa wa buku tatu nimekatwa 33 kama ada sasa sijui ni kote au pia sijatumiwa mpaka sasa hviNimejaribu kwa M-PESA imezingua nikanunua kwa Tigo Pesa
Huu ni UZEMBELabda hawaja-upgrade mifumo yao.
Tanesco are not serious at all.Aisee najaribu kununua umeme lakini haiwezekani nimenunua kwa m pesa nimeshindwa nikaenda selcom napo wameshindwa na maxmalipo pia sijuw nifanyeje
TANESCO naomba kusaidiwa Mimi nimelipia kufungiwa umeme lakini sijafungiwa umeme huu Mwezi wa tatu .. naomba unisaidie na mimi nipate Huduma ya umeme
Naitwa Leonard R Lazaro nipo bujingwa mwanza na nililipia kituo cha Nyakato. Namba yangu 0767101328 .. mnisaidie Jamani nimechoka kukaa gizani
Tumepokea taarifa mpendwa mteja wetuTANESCO naomba kusaidiwa Mimi nimelipia kufungiwa umeme lakini sijafungiwa umeme huu Mwezi wa tatu .. naomba unisaidie na mimi nipate Huduma ya umeme
Naitwa Leonard R Lazaro nipo bujingwa mwanza na nililipia kituo cha Nyakato. Namba yangu 0767101328 .. mnisaidie Jamani nimechoka kukaa gizani