TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mteja anakatwa vat 18% rea 3% na ewura 1% hakuna makato mengine kwa t1 na d1
NIMENUNUA UMEME WA ELFU 10 NIMEKATWA TIGO PESA TSH 10,110/= NA MESSAGE NIMEPATA MBILI ZA TOKEN,MOJA KUTOKA TIGOPESA NA NYINGINE KUTOKA NAMBA 15200.
 
Waya unaoingiza umeme kutoka kwenye nguzo umeshuka sana, kuna siku walikuja watu wa Tanesco kutengeneza nyumba ya jirani wakaniambia watarudi kuja kunirekebishia mpaka leo hawajafika. Naomba mnisaidie kuja kunirekebishia.

Namba yangu ya mita ni 24214460917 eneo la Toangoma.
Natanguliza shukrani.
 
Mbona mi nimenunua naambiwa...

The value of parameter 66880000 is incorrect. The receiver organization queried by the organization entity ID or short code does not exist.

Sijaelewa kabisa na nina salio la kutosha via mpesa
 
TANESCO MSITUFANYE WAJINGA,FUATILIA UMEME WANAKATA TENA 1.1% UKIONDOA,VAT 18%,REA 3% NA UWERU 1%,HAYO MAKATO MAPYA YA 1.1% YAMETOKA WAPI? NIMENUNUA KWA TIGO PESA UMEME NIMEKATWA FEDHA YANGU ILIYOPO KWENYE TIGO PESA AMBAYO NI 1.1% YA UMEME NILIONUNUA,NIMENUNUA UMEME WA BUKU 10 TIGO PESA WAMEKATA JUMLA 10,110/= HILO KATO LILILOONGEZEKA LINAENDA KWA NANI 110/=? HUU SI WIZI? MBONA MWANZO UKINUNUA WA ELFU 10 INAKATWA HIYO HIYO ELFU 10?
Tumepokea kwa uchunguzi zaidi
 
NIMENUNUA UMEME WA ELFU 10 NIMEKATWA TIGO PESA TSH 10,110/= NA MESSAGE NIMEPATA MBILI ZA TOKEN,MOJA KUTOKA TIGOPESA NA NYINGINE KUTOKA NAMBA 15200.
Tutakupatia maelezo mpendwa mteja wetu
 
Waya unaoingiza umeme kutoka kwenye nguzo umeshuka sana, kuna siku walikuja watu wa Tanesco kutengeneza nyumba ya jirani wakaniambia watarudi kuja kunirekebishia mpaka leo hawajafika. Naomba mnisaidie kuja kunirekebishia. Namba yangu ya mita ni 24214460917 eneo la Toangoma.
Natanguliza shukrani.
Tumepokea taarifa
 
Waya unaoingiza umeme kutoka kwenye nguzo umeshuka sana, kuna siku walikuja watu wa Tanesco kutengeneza nyumba ya jirani wakaniambia watarudi kuja kunirekebishia mpaka leo hawajafika. Naomba mnisaidie kuja kunirekebishia. Namba yangu ya mita ni 24214460917 eneo la Toangoma.
Natanguliza shukrani.
Eneo lako, namba ya simu na namba ya taarifa kama unayo
 
Mbona mi nimenunua naambiwa...

The value of parameter 66880000 is incorrect. The receiver organization queried by the organization entity ID or short code does not exist.

Sijaelewa kabisa na nina salio la kutosha via mpesa
Ndugu mpendwa mteja nunua kwa njia nyingine njia hiyo inafanyiwa kazi
 
Tanesco hapa nianvo kwambia nimenunua umeme kwa tigopesa wa elfu 3 nimekatwa sh 33 mbali na hyo buku tatu kama ada kitu ambacho cijawahi kukatwa nimepiga cimu mpaka tigo nimeongea na muhudumu wao kanambia ni utaratibu mpaya ambao umeanza kutumiaka na mpaka sasa hvi cijapata token nimeambiwa mnamatatizo kwenye upokeaji wa malipo kutoka kwao hapa nabiashara imebidi nifunge tuu
Tunafatilia swala lako mpendwa mteja
 
Ni masaa 19 mpk ivi sasa hamna dalili ya umeme kurudi, I guess tunalala giza tena na leo huku Makongo siku ya pili mfululizo, Nchi ya viwanda wananchi wanakaa bila umeme 2days.

Mi ngekuwa waziri wa nishati ngetumbua Tanesco yote afu nieke team mpya! Mvua zikinyesha wanasingizia mvua, labda na leo Jua limezidi-;:!?””’*^_
 
Kwasasa Tunaweza kununua umeme kwakutumia huduma ya mpesa?
 
Back
Top Bottom