Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa usahihi zaidi nunua tu kwenye benki au kwenye kibanda/wakala/wa/ cha Tanesco.Kwasasa Tunaweza kununua umeme kwakutumia huduma ya mpesa?
Hahaha mkuu toa tu ya moyoni usije pata BP kwa kutunza vitu moyoni....Hili li shirika lifutwe humu jamii forum linatutafutiA ban za wazi wazi
Nahisi Kuna mgao, sisi walirudisha saa kumi Tangu saa mbili wameshauchukuaNi masaa 19 mpk ivi sasa hamna dalili ya umeme kurudi, I guess tunalala giza tena na leo huku Makongo siku ya pili mfululizo, Nchi ya viwanda wananchi wanakaa bila umeme 2days, Mi ngekuwa waziri wa nishati ngetumbua Tanesco yote afu nieke team mpya! Mvua zikinyesha wanasingizia mvua, labda na leo Jua limezidi-;:!?””’*^_
Bora aisee....ukipata opportunity huko usinisahauMasaa 24 yametimia umeme bila bila, mi nahama hiii nchi!
Yani safari hii ni mnyooko wa nguvu wallah...Mkuu kwa usahihi zaidi nunua tu kwenye benki au kwenye kibanda/wakala/wa/ cha Tanesco.
Wapigie tigo wqkutumie masege tenaHABARI NDG TANESCO
JANA TAREH 01/04/2018
NILINUNUA UMEME KWA TIGOPESA 0655673456
KWA Tsh 9,200/- nikapata unit 75.2
KWA BAHATI MBAYA NIKADELETE TOKEN ..
NAOMBA MSAADA WA ILE TOKEN
KTK MITA 24212706774
natanguliza shukrani
Hahaha mkuu toa tu ya moyoni usije pata BP kwa kutunza vitu moyoni....
Ndugu mpendwa mteja, acha kufata taarifa za tetesi sikiliza na pokea taarifa zetu kutoka kwetu, tulitoa taarifa kamili hapa kwenye thread yetuTetesi nilizoziskia ni kwamba Tanesco wamesitisha kununua LUKU,kupitia mitandao ya simu,ni kutokana na yule Mfanyabiashara maarufu aliyefungwaga jela akatoka na aliwahi kuwa M/kiti yanga na pia aliwahi kuwa Mh Diwani wa Mbagala kumiliki Hisa kubwa kwenye mitandao ya simu.
Tanesco je hizi tetesi zinaukweli ndani yake???
Tunaomba namba ya simu na eneo lakonaomba msaada tafadhali,luku yangu number 24218162899 ina shida kubwa,wakati imeweka ilikuwa inafanya kazi vizuri lakini ghafla units za umeme zilianza kwisha kwa kasi ya ajabu,nilitoa taarifa tanesco kilimanjaro kuhusu tatizo hilo ushauri walionipa nicheki wiring ya nyumba nzima zoezi hilo lilifanyika lakini kulikuwa hakuna linkage yeyote,sina matumizi makubwa ya umeme,ni mhumini mkubwa wa energy save,naomba nijue labda nko tarriff gani?lakini pia tatizo ni nini unit 28 kutumika ndani siku 12 wakati units hizo hizo 28 kwenye nyumba yangu nyingine yenye matumizi zaidi zinatumika zaidi ya wiki 3