TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Ni hatua nzuri ya kuwa mnawasilana na wateja wenu,nina maoni na mawazo kuhusiana na Shirika hili,je nini Dira ya Tanesco katika miaka 10 ijao,nini malengo yenu?;pia lini mtaanzisha vyanzo vingine vya umeme ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa umeme?je mnafikiria kuwaruhusu watu binafsi wawe wanazalisha umeme na kuuingiza kwenye gridi ya Taifa halafu mnawalipa gharama zao,maana hili litasaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa umeme;je mna mpango wowote wa kuelimisha wateja wenu watambue matumizi bora ya umeme ?mfano Zima taa katika chumba kama haumo chumbani,Zima na toa soket kwenye umeme kama hutumii vifaa vya umeme,wengi wetu tunazima let say TV kwa remote ila power inaendelea ku flow ;je mna mpango gani wa kumotisha watumiaji wazuri wa nishati hii na kuadhibu wale wanaotumia vibaya?mfano kama unahitaji kikombe kimoja cha chai why uchemshe birika lote lililojaa maji?huu ni utumiaji mbaya wa umeme;shirika lako lijiendeshe kibiashara sio kisiasa kinyume chake mtashindwa jukumu lenu la kuzalisha hii nishati.
Tafadhali pitia website yetu www. tanesco.co.tz kuona mikakati ya kuonbeza na kuboresha upatikanaji wa umeme nchini,

Elimu ya matumizi bora ya umem inatolewa mikoa yote nchini kupitia timu ya wataalamu wetu waliopp nchi nzima
 
Eneo
Wilaya
Simu
Tatizo
Namba ya taarifa... mwezi uliopewa namba hiyo....
ENEO.....KONGOWE
WILAYA.....KIBAHA MKOA WA PWANI
SIMU ....0755759999
Hatujapewa namba na Tanesco mheshimiwa. Ndio tunaomba kuunganishiwa umeme baada ya kulipa connection fees.

Thread number 4190
 
Tunaomba namba yako ya simu, eneo, namba ya taarifa tukupatie ufafanuzi na kutatua tatizo lako mpendwa mteja
Hi!!

Tupo gizani kwa zaidi ya saa 30!! Jumapili nilinunua umeme kupitia Selcom lakini kumbe namba 2 zilikuwa hazionekani vizuri. Zikafanyika several attempts za kuingiza token lakini haikukubali. Nikaamua kununua umeme mwingine kwa Tigo Pesa. Muda baadae, ile token ya Selcom nayo ikakubali.

Na ingawaje hivi sasa units zinazoma kwenye LUKU lakini umeme ndani hatupati!

Tupo Mbagala. Tangu jana tushapiga sana Kituo cha Mbagala but seems like all incoming calls zipo blocked manake pamoja na kupiga zaidi ya mara 50 lakini mara zote hizo tunajibiwa namba inatumika!!!!!!!!!!!

Namba zao nyingine ndo hazipatikani kabisa!! Nikapiga Temeke Regional Office mara kadhaa, hakuna tunachoambiwa zaidi kwamba watawaambia Mbagala watupigie lakini hamna lolote na siku ndo hiyoo imeondoka hatujapigiwa and I doubt ikiwa TUTAPIGWA!

Nimepiga Call Center lakini nako simulizi ndo ile ile!!

Nime-file complaint (Ticket ID: 142) via your web portal but I don't know how long does it take for the status to change from NEW to RECEIVED manake zaidi ya saa 3 zimepita sasa ( at 05:40) lakini Lalamiko halijapokelewa (Status: New)!

Now....

Mbagala nimepiga

Regional Office nimepiga

Call Center Nimepiga

Online Complaint filed...

What else?! Hivi kweli inaingia akilini mtu aache kila kitu na badala yake aende ofisi za TANESCO just kuripoti LUKU failure?! If so, nini maana ya hizi namba mnazotuwekea?!

Anyway, niambie cha kufanya lakini kwenda ofisi za TANESCO sio option kwangu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
 
Tafadhali pitia website yetu www. tanesco.co.tz kuona mikakati ya kuonbeza na kuboresha upatikanaji wa umeme nchini,

Elimu ya matumizi bora ya umem inatolewa mikoa yote nchini kupitia timu ya wataalamu wetu waliopp nchi nzima
Mkuu hili la kulipia kuanganishiwa service line na kukaa kipindi cha kukaria miezi 3 limekaaje?
Maana ninacosikia ni kuwa vifaa (nguzo+nyaya )hakuna kabisa kwa zaidi ya miezi miwili.
Eneo Wilaya Mkuranga.
 
Hi!!

Tupo gizani kwa zaidi ya saa 30!! Jumapili nilinunua umeme kupitia Selcom lakini kumbe namba 2 zilikuwa hazionekani vizuri. Zikafanyika several attempts za kuingiza token lakini haikukubali. Nikaamua kununua umeme mwingine kwa Tigo Pesa. Muda baadae, ile token ya Selcom nayo ikakubali.

Na ingawaje hivi sasa units zinazoma kwenye LUKU lakini umeme ndani hatupati!

Tupo Mbagala. Tangu jana tushapiga sana Kituo cha Mbagala but seems like all incoming calls zipo blocked manake pamoja na kupiga zaidi ya mara 50 lakini mara zote hizo tunajibiwa namba inatumika!!!!!!!!!!!

Namba zao nyingine ndo hazipatikani kabisa!! Nikapiga Temeke Regional Office mara kadhaa, hakuna tunachoambiwa zaidi kwamba watawaambia Mbagala watupigie lakini hamna lolote na siku ndo hiyoo imeondoka hatujapigiwa and I doubt ikiwa TUTAPIGWA!

Nimepiga Call Center lakini nako simulizi ndo ile ile!!

Nime-file complaint (Ticket ID: 142) via your web portal but I don't know how long does it take for the status to change from NEW to RECEIVED manake zaidi ya saa 3 zimepita sasa ( at 05:40) lakini Lalamiko halijapokelewa (Status: New)!

Now....

Mbagala nimepiga

Regional Office nimepiga

Call Center Nimepiga

Online Complaint filed...

What else?! Hivi kweli inaingia akilini mtu aache kila kitu na badala yake aende ofisi za TANESCO just kuripoti LUKU failure?! If so, nini maana ya hizi namba mnazotuwekea?!

Anyway, niambie cha kufanya lakini kwenda ofisi za TANESCO sio option kwangu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Ndugu mpendwa mteja kama ambavyo tumewasiliana na wewe na kukusikiliza tunaomba tufanyie kazi swala lako
 
Karibu sana, meter yako itakuwa imehisi unataka kuiba umeme ndio maana ikajipeleka tempering mode nivyo tutaifungua na namba maalumj
Hii inatokana na kuweka umeme kwa kukosea mara nyingi
 
Chapishe vipeperushi jinsi ya kutumia hizi meter mnazofunga. Watu mnaowafundisha wanaondoka na wakati mwingine wakati wa kufunga anayefundishwa haelewi
 
Chapishe vipeperushi jinsi ya kutumia hizi meter mnazofunga. Watu mnaowafundisha wanaondoka na wakati mwingine wakati wa kufunga anayefundishwa haelewi
Ndugu mpendwa mteja vipo tayari ikiwemo online magazina na nyaraka nyingine
 
Naomba kuuuliza kwa huduma ya kuunganishiwa umeme Wa REA je, Mwananchi anatakiwa kujigharamia bomba (chuma cha kuunganishia umeme toka kwenye nguzo na kuingia ndani ya jumba??? Au ni sehemu ya gharama ya Tanesco)
 
Naomba kuuuliza kwa huduma ya kuunganishiwa umeme Wa REA je, Mwananchi anatakiwa kujigharamia bomba (chuma cha kuunganishia umeme toka kwenye nguzo na kuingia ndani ya jumba??? Au ni sehemu ya gharama ya Tanesco)
Kama utataka kuweka chumanau braket ni gharama za mteja na sio Tanesco
 
TANESCO,TANESCO, TANESCO, mnatuumiza. Mungu awatende sawa na mnavyotutenda. Mita Miezi Miwili, terms zenu hamzifati. Mkuru akija Mapumziko Lazima aelezwe labda nife Leo [emoji753]
 
TANESCO,TANESCO, TANESCO, mnatuumiza. Mungu awatende sawa na mnavyotutenda. Mita Miezi Miwili, terms zenu hamzifati. Mkuru akija Mapumziko Lazima aelezwe labda nife Leo [emoji753]
Tunaomba taarifa kamili ya eneo, namba ya simu, namba ya taarifa, wilaya na unacholalamikia
 
Tunaomba taarifa kamili ya eneo, namba ya simu, namba ya taarifa, wilaya na unacholalamikia
Nilitoa taalifa, mkaniunganisha na wahusika haikusaidia, majibu niliambiwa mita hazipo zikija nitafungiwa, Leo nimeenda ofisini nikapewa majibu hayohayo, nimelipia trh12/03/2018.hadi sasa majibu yale yale. Atakuja Mapumziko tutauliza.
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu


Hizi namba ulizoweka hapa ni almost rubbish, weka zako tukupigie ili wewe ndiyo uwapigie, tukiwapigia sisi wanatudharau sana na wala hawafanyi chochote

Hiyo picha ni ya watendaji wako wa Morogoro ambao wametushinda labda wewe uwaambie waje watengeneze, tutakutumia nyingine nyingi tu

20180420_151941.jpg
 
Back
Top Bottom