TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Jamani Tanesco sina huduma ya umeme siku tatu ,nimenunua Luku lakini kuingiza kwenye mita inasoma rejected,nikiwapigia wanasema watakuja lakini mpaka sasa hivi sioni mtu namba ya mita ni 24213776032,msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu mpendwa mteja tunaomba maelezo ya ziada ya fidia ya nin? Wilaya? Eneo na namba yako ya simu
TANESCO MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni fidia ya short ya umeme iliyotokana na Tanesco kuzidisha umeme toka 240v za Kawaida mpaka zaidi ya 300v iliyo pelekea kuunguza vifaa ndani ya nyumba na balbu kupasuka.kata ya sombetini ,na sehemu zingine mbali mbali .katika jiji la Arusha .na kwamba tumipitia hatua zote za madai na kudhibitishwa na Tanesco .tatizo lipo kwenye malipo mara cheque aija sainiwa Dar es salaam mkurugenzi kasafiri .mara waziri kaondolewa tusubiri ajae ,mara cheque zimekuja ila figure za pesa zimekosewa hivyo zimerudishwa Makao makuu Dar ,Na haya majibu tumekuwa tukipewa kwa miaka mitatu sasa inafika.na jibu la sasa hivi tuliopewa baada ya kuitwa tanesco tarehe 26/8/2018 kuchukua malipo yetu .tumeambulia kuulizwa kama tuna kubali kuingiziwa pesa bank moja moja kwa moja badala ya kulipwa kwa cheque au cash.cha ajabu tulipo rudi kutoa majibu .afisa mahusiano akapotea na meneja ofisi.ata hivyo baada ya kumvizia na kumpata afisa mahusiano .akatutaka radhi kuwa meneja hayupo na kwamba yupo likizo ya wiki moja .(ukiacha maajabu meneja likizo za wiki kama za raisi ) afisa uhusiano ametutaka turudi tarehe 5/9/2018 meneja atakua likizo imeisha ,hivyo hali ndio hiyo .ila pia kwa umoja wetu tumeamua tarehe 5 ni mwisho .tutatuma ujumbe wa wazi kupitia akaunti ya Facebook ya naibu Waziri wa nishati Mh Subhira Mgalu ,na kuhusu namba yangu ya simu hili jambo sio binafsi kiasi hicho ni jambo la wengi na kubwa tuu hapo Tanesco Arusha sio Private kiasi cha kuwasiliana na mtu moja .ila labda baada ya kuchaguliwa na wenzangu kuwakilisha baada ya hiyo tarehe 5/9/2018 .Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni mje kunyanyua huu waya
MTAA:MPONDA
ENEO:SHULE YA MSINGI MIANZINI
IMG_20180904_110811.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco wilaya ya kigamboni mbona mmetelekeza mradi wa U meme mchikichini kata ya somangira. Mradi ulianza tangu 2015 nguzo ziliwekwa zikachimbiwa 2016, kisha baadae 2017 nyaya zikatandazwa na wananchi tukaambiwa tujiandae kufanya wiring na kujaza fomu za maombi lkn mpaka Leo kimya. Tumesubiri zaidi ya mwaka sasa na tunaona miradi mingine ikitekelezwa na U meme kuwashwa lkn huku kwetu kimya. Kuna tatizo gani??????


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka miaka ya nyuma Tanesco mlikuwa na kitengo cha security na ninaamini malengo ya kuwepo kitengo maalumu cha security ni kulinda miundombinu ya shirika na kuwasimamia waajiliwa (staff) ambao wanajishughulisha na ukishoka (kusimamia nidhamu kwa waajiliwa pia).Shirika kama tanesco linatakiwa liwe na macho yanayoona mbali zaidi iwe kwa waajiliwa na vishoka wa nje ya shirika,na muache tabia ya kusubili mpaka mteja au mwananchi aje alalamike kwenu ktk mambo mf: lushwa/ubabaishaji/udalali yani muajiliwa kuchukua tenda ya et kumfatilia upatikanaji umeme mteja,nje ya maadili ya ajira yao kabisa, je tanesco aina macho binafc ya kuyaona haya?, Pia ninakuomba sana ww unaejibu malalamiko ya wateja.Mwananchi/mteja anatoa lalamiko lake mf kuhusu ukishoka wa staff wenu,alafu et unajibu oo tumekusikia ila tunaomba ushirikiano wako japo kwa kututajia ili tupate pa kuanzia,.kwa majibu kama haya kujibiwa na shirika kubwa kama tanesco ni uzembe sana, yani mnasaidiwa mnapewa picha michezo ilivyo bado unataka et usaidiwe zaidi ili kum baini staff ambae anajihusisha na ukishoka kazini,aisee da!! kweli tanesco mnafeli kila cku, Shirika linamtandao wa uongozi toka juu mpaka chini (wilayani) viongozi wameshindwa kabisa kuwabaini staff wanaojiucsha na ukishoka bila woga,au manufaa mnapata wote? ya ukishoka?.udalali kwenye application form costamer care zote za dar .Badilikeni plz hili shirika lina heshima sana ila waajiliwa chanzo cha kulichafua shirika.By Mwananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Mimi nauliza tena kwa mara ya mwisho,huduma ya kuhamishwa tariff kwa wakazi wa Dar bado lipo au limesitishwa?maana sipati majibu ya uhakika kwenye ofisi zenu,natumaini hapa leo nitapata jibu la uhakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na maelezo mazuri hapo juu ndugu mheshimiwa unaehusika na Mahusiano napenda pia kuuliza vipi tayari mmekwishawalipa IPTL pamoja na HSCB zile pesa zao (ikiwa ni garama ya kuvunja mkataba,kuendesha kesi pamoja na riba zake) kama ilivyoamriwa na MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA USULUHISHI NA UAMUZI WA MIGOGORO YA KIBIASHARA?
 
  • Thanks
Reactions: ADK
Jaman samahani.....nyumba ninayoishi inatatizo tunanunua umeme kila week........wanasema et tupo kweny system ya matumizi makubwa, tufanyeje ili tujinasue hapa.???.....Mana nlipokua naishi mwanzo ilikua ni unit 75 mwezi mpka mwezi.!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO Ukonga. Nimepeleka maombi ya kuunganishiwa umeme tangu mwezi June mwaka huu, nikapewa account ya kulipia shilingi laki nane. Nikalipa, kisha nikaambiwa nisifike tena TANESCO kwani kuna foleni kubwa ya wateja, nitapigiwa simu. Mpaka leo ni kimya.

Je, inachukua miezi mingapi kwa mteja kuunganishiwa umeme?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Umeme ni viwanda, umeme ni maendeleo lipi mtashusha gharama za umeme?
 
Ni fidia ya short ya umeme iliyotokana na Tanesco kuzidisha umeme toka 240v za Kawaida mpaka zaidi ya 300v iliyo pelekea kuunguza vifaa ndani ya nyumba na balbu kupasuka.kata ya sombetini ,na sehemu zingine mbali mbali .katika jiji la Arusha .na kwamba tumipitia hatua zote za madai na kudhibitishwa na Tanesco .tatizo lipo kwenye malipo mara cheque aija sainiwa Dar es salaam mkurugenzi kasafiri .mara waziri kaondolewa tusubiri ajae ,mara cheque zimekuja ila figure za pesa zimekosewa hivyo zimerudishwa Makao makuu Dar ,Na haya majibu tumekuwa tukipewa kwa miaka mitatu sasa inafika.na jibu la sasa hivi tuliopewa baada ya kuitwa tanesco tarehe 26/8/2018 kuchukua malipo yetu .tumeambulia kuulizwa kama tuna kubali kuingiziwa pesa bank moja moja kwa moja badala ya kulipwa kwa cheque au cash.cha ajabu tulipo rudi kutoa majibu .afisa mahusiano akapotea na meneja ofisi.ata hivyo baada ya kumvizia na kumpata afisa mahusiano .akatutaka radhi kuwa meneja hayupo na kwamba yupo likizo ya wiki moja .(ukiacha maajabu meneja likizo za wiki kama za raisi ) afisa uhusiano ametutaka turudi tarehe 5/9/2018 meneja atakua likizo imeisha ,hivyo hali ndio hiyo .ila pia kwa umoja wetu tumeamua tarehe 5 ni mwisho .tutatuma ujumbe wa wazi kupitia akaunti ya Facebook ya naibu Waziri wa nishati Mh Subhira Mgalu ,na kuhusu namba yangu ya simu hili jambo sio binafsi kiasi hicho ni jambo la wengi na kubwa tuu hapo Tanesco Arusha sio Private kiasi cha kuwasiliana na mtu moja .ila labda baada ya kuchaguliwa na wenzangu kuwakilisha baada ya hiyo tarehe 5/9/2018 .Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Leo tarehe 6/9/2018 ndio tunakwenda Tanesco Arusha .fuatilia kwa habari zaidi
 
Back
Top Bottom