Tanesco wilaya ya ilala wanatufanyia uhuni
Tumeripoti toka j, mosi waya za umeme zimekatika ofisi kwangu,wakaja mara ya kwanza wakakata waya zote wakazikunja wakaondoka zao,
Tukaenda tena j, tatu kulalamika vipi mbona mmeenda jumla wakaja wakachungulia chungulia wakatoa sababu kuna miti inatakiwa ikatwe, tukakata miti yote haya sasa njooni wakaja jana jioni wakazuga zuga wakaondoka
Ni kama vile watu wanaotengeneza mazingira ya kutaka rushwa ndio waturudishie umeme, tunaona kabisa mazingira yanatengenezwa hivi ya kutukwamisha tusipate umeme bila rushwa..