TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hapa Ubungo Kibangu umeme umekatika kuanzia jana asubuhi, mpaka sasa haujarudi. Lakini maeneo ya jirani upo kama kawaida. Je shida ni nini hapa? Au kuna hitilafu? Au ni hila tuu mnatufanyia?
0769021064

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Ubungo Kibangu umeme umekatika kuanzia jana asubuhi, mpaka sasa haujarudi. Lakini maeneo ya jirani upo kama kawaida. Je shida ni nini hapa? Au kuna hitilafu? Au ni hila tuu mnatufanyia?
0769021064

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wapendwa wateja wetu

Tunawaomba radhi sana kwa adha ya kuchelewa kupata huduma ya umeme

Tatizo
Transfoma letu la 11 Kv liliharibika maeneo hayo hivyo wataalamu wetu wamepambana mpaka majira na usiku wa kumkia leo ( saa nne usiku) kutatua tatizo kwa kubadilisha transfoma, kuifanyia majarabia kitaalamu na kuipa muda wa uangalizi ndio iwashe

Tunaomba radhi sana kwenye wapendwa wateja wetu, Shirika litaendelea kuboresha huduma ili kuhakilisha mnapata huduma bora muda wowote

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco wa Kisarawe wana dharau sana,

Watu wanaenda kuwaambia tatizo wanaandika kwenye kompyuta kisha wanakuambia tutakuja hapo sasa ndo wanakaa miaka hawatokei, yani wewe uwe unaenda na kurud tu kwao kueleza shida moja.

Watu hawafanyi biashara kwa ajil yao, wakazi wa kisarawe tunawaulizb mtabadilika lini? Na kazi yenu ipi hapo ofisin kwenu? Tanzania ya viwanda itawezekana mtu hapati umeme miezi sita! Mnakera
Tunashukuru kwa taarifa pendwa mteja wetu

Tafadhali tusaidie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Namba ya taarifa

Unaweza kutuma taarifa hata inbox

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu wa humu jukwaani.

Kwa siku nne mfululizo sasa kumekuwa na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara hasa nyakati za jioni.
Hali hii inasababisha adha kubwa kwa wananchi watumiaji wa umeme katika mji wa Shinyanga na viunga vyake.
Kwa upande wa Shirika la umeme nchini Tanesco ofisi ya Shinyanga wamekuwa na kigugumizi kuhusu sababu hasa ya tatizo hili.

Wito wangu kwa Tanesco, ninawaomba wajitahidi kutoa taarifa za uhakika kwa wateja wao hasa wamiliki wa viwanda pindi wanapotaka kukata umeme ili kuepusha hasara zinazojitokeza mara kwa mara.

Sent using honor
Tunashukuru kwa taarifa pendwa mteja wetu

Tafadhali tusaidie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Namba ya taarifa

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO,

Nasikitika sana kumekuwa na ukataji wa umeme karibu kila siku kwa masaa kadhaa, kupelekea jana kuunguliwa na Tv yangu kwa sababu ya kuja na kuondoka kwa umeme, baada ya kufuatilia naambiwa ni karibu mji mzima wa mbeya umeme unakatika. Mbona hatupewi taarifa yoyote kama kuna mgao wa umeme, na kwa mimi niliyeunguliwa na Tv mtanilifund???

Wadau hebu tujuzane, huu ni mgao ama ni hitilafu za kwaida???

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashukuru kwa taarifa pendwa mteja wetu

Tafadhali tusaidie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Namba ya taarifa

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimetuma maombi ya kubadirishwa kwenda kwenye Zero tariff kupitia App yenu lakini imekuwa kimya sijapata majibu yoyote kutoka kwenu. Mwanzo nilikuwa kwenye matumizi ya Zero tariff lakini mita ikaaribika sasa toka nimepewa mpya hii huduma sijaipata kabisa. Namba ya mita ya zamani ni 01319958011,. Namba ya mita mpya Ni 43021919931 , Eneo Mwanza Ilemela.
Tunalifatilia kwa hatua zaidi mpendwa mteja wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah Hutu Dada aneyehudumia tanesko chato anadharau sana,ukiwa unahitaji shida ya kiufundi anakwambia hawezi kutuma fundi anaweza akafa kwa umeme

sasa mafundi si wapo kuhudumia au kuogopa umeme?
 
Tupatie taarifa kamili
IMG_-mf6jpp.jpeg





TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
 
mim nakaa mkoa wa Tanga maeneo ya korogwe vijijini sehemu moja wanapaita magoma, aisee tumehama mpaka sasa hamjatuwekea umeme ni musa kila ukipiga simu wanasema wiki ijayo mpaka tumechoka.
naombeni msaada wenu.
0673824243
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunashukuru jwa taarifa tunaifatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwenu Tanesco.

Niliandika humu matatizo yangu kwenu, kwa uharaka ulio tukuka nimepata huduma.

Niko safari Ifakara, lkn nimeteleza kile ambacho nimetakiwa kufanya inshaallah jtatu, ntamtuma kijana awasilishe risiti za malipo ofisi ya Tanesco Mkuranga kwa hatua zao zaidi.

Hongera Tanesco,
 
Jana nimeingiza luku ila chakushangaza umeme hauwaki, natumia mita za ukutani inaanza na namba 0132... naomba msaada tafadhari.
 
Back
Top Bottom