Ndelyaukiwa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 267
- 347
Mm nina malalamiko mkoa wa kilimanjaro ,Yan tulihangaika sana kumpata surveyor almost miez miwili.Baada ya kuja akasema mkalipie next ijumaa na hapo ilikuwa ijumaa lakin kuanzia siku hyo huu ni mwez wa tatu kila nikiomba control number ofisini tulipie tunarudishwa na wanasema wanatumia kweny simu saiv ni mwezi wa tatu.what should we do mbna wengine wanahudumiwa vizur kwa haraka au kwa kuwa ss hatuna mijengo ya kifahari
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app