TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mimi ni mkazi wa kijiji cha Kasela D kata ya Uyogo,Urambo Tabora.
Shida yangu ni kuhusu kuunganishwa umeme kwa 27,000/ lakini huku meneja wa TANESCO Urambo alikuja kufanya mkutano akasema ni kaya 29 tu ndio zitaunganishwa kwa TSHs 27,000/ kati ya kaya 350.hao wengine wataunganishwa kwa shilingi 117,000/ ndani ya mita 30 bila gharama za nguzo ,ikiwa kuna kuweka nguzo pesa itazidi.
Mpaka sasa ni kaya 5 zilizopata umeme zingine wamesema wataendelea kutumia sola kama ndiyo hali inakuwa tofauti na matamko ya waziri na serikali.
Serikali imetumia pesa kubwa kufikisha huo umeme katika kijiji husika lakini matokeo yake watu 5 tu ndio wanatumia.
Maoni yangu TANESCO waaambaze nguzo kila mtaa ili watu waunganishe na umeme.
Pia watu wote walipe 27,000/ kama serikali inatamka.ni mimi
Donald Musimu -0782100081 urambo
Asante kwa taarifa tunafatilia kwa hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco kuweni wazalendo na nchi yetu nasikitika kusema yanayofanywa na mameneja wa mikoa ni hujuma dhidi ya serkali,nikupoteza/kuharibu mitaji ya wafanya biashara na kufifisha mitaji.

Nakumbuka ilikuwa tarehe 13 June 2020 umeme ulikatika ghafla jengo zima tukatoa taarifa Tanesco kitengo cha dharula wakatuahidi kufika kwa muda mfupi lakini hawakuja siku nzima tukalazimika kutafuta fundi akague jengo zima,fundi akabaini umeme ulikata kwenye mita tukaendelea kuwasumbua Tanesco lakini majibu yalikuwa yakukatisha tamaa baada ya siku nne ndio wakaja wakabaini mita ni mbavu kweli wakasema wanapeleka taarifa kitengo husika lakini mpaka leo ni wiki tatu hatuna umeme wanadai mita hazipo.

Shughli nyingi zimesimama hatuzaliahi chochote tunakula mitaji.

Mimi nimewasiliana na afisa mahusiano mkoa lakini majibu yake niyaleyale nimeomba msaada kwa DC naye kapigwa danadana mpaka kajitoa.

Swali kwenu Tanesco mnakaaje maofisini mnashindwa kutatua kero za wateja wenu? Kila Mwezi tunatumia umeme wa sh,400,000 na sasa hamkuziingiza hamuoni siku kampuni nyingine zikiruhusiwa ninyi mtafunga vilago?

Ni utaratibu upi mliojiwekea mita ya mteja inapopata hitrafu?

Nategemea kapata majibu sahihi na maelekezo ili nichukue hatua.
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
TANESCO nje ya nyumba nnayojenga umeme wa two phase uko mita chache sana. Hata nguzo ya ziada haihitajiki.
Je nikitaka three phase kwa nyumba yangu hii two phase ndio mtakayo i covert mniwekee three phase au mtanivutia nguzo zingine kuuleta wa three phase maana huu nauona uko mbali sana yaani huo wa three phase.
 
Hiv kwann mtu akihama na luku yake anahamia sehem nyingne mnachaj tena as if ndo anavuta tena umeme...y msiskip hzo gharama za line na luku mcharge ya ufundi tuu kufunga pale juu...hvi nyie mna matatZo gan..ngoja tuwachongee kwa mkuu maana ndo boss wenu
 
Hiv kwann mtu akihama na luku yake anahamia sehem nyingne mnachaj tena as if ndo anavuta tena umeme...y msiskip hzo gharama za line na luku mcharge ya ufundi tuu kufunga pale juu...hvi nyie mna matatZo gan..ngoja tuwachongee kwa mkuu maana ndo boss wenu
Hairuhusiwi kuhama na mita ya LUKU kwa kuwa mita ni kifaa cha kumia matumizi ya mteja amnacho ni malo ya TANESCO, mteja analipia gharama ya kuunganishiwa umeme na sio kununua mita hivyo basi wajibu wa mteja unaanzia baada ya mita kurudi ndani ya nyumba yake na ndio maana hata moya ikiharibika tunatengeneza au kibadilisha wenyewe bila gharama zozote kwa mteja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo Goba mpakani, ningependa kujua gharama ya kuweka umeme bila kutumia nguzo hata moja kwa sababu nguzo ipo chini ya mita kumi kutoka kwenye nyumba yangu je na inachukua cku ngapi
 
tunashukuru kusogea karibu na wateja wetu
Mimi nipo Goba mpakani, ningependa kujua gharama ya kuweka umeme bila kutumia nguzo hata moja kwa sababu nguzo ipo chini ya mita kumi kutoka kwenye nyumba yangu je na inachukua cku ngapi
 
Mimi nipo Goba mpakani, ningependa kujua gharama ya kuweka umeme bila kutumia nguzo hata moja kwa sababu nguzo ipo chini ya mita kumi kutoka kwenye nyumba yangu je na inachukua cku ngapi
Tafadhali kamilisha wiring njoo chukua fomu tukumipimie na kukupatia gharama halisi huo ndio utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada : Nimewekea mita wiki mbili zilizopita hizi za remote, Baada ya umeme kuisha nimenunua umeme wa sh 5000 lkn kila nikiweka hauingii na wakati mwingine mita inazima kabla ya kumalizia kuingiza token zenyewe. Nini tatizo
Nipo wilaya ya mtwara
 
Msaada : Nimewekea mita wiki mbili zilizopita hizi za remote, Baada ya umeme kuisha nimenunua umeme wa sh 5000 lkn kila nikiweka hauingii na wakati mwingine mita inazima kabla ya kumalizia kuingiza token zenyewe. Nini tatizo
Nipo wilaya ya mtwara
Tafadhali onyesha

Eneo

Simu

Namba ta mita

Tatizo

Kinachokea ukiingiza umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani Tanesco nashukuru sana sana na Mungu awabariki tayari Tanesco Wilaya ya Hanang wamekuja kukagua na tumeshalipia tayari tangu tarehe 3/7/2020 na kupewa stakabadhi na kuingizwa kwenye system za Tanesco.Yaani nimewapenda bure natoa shukrani zangu za dhati kwa Tanesco.Sasa ningeshukuru kama wangeenda kuunganisha umeme kwani haitaji hata nguzo.Natanguliza shukrani zangu tena .
Jina ni Monica Lazaro
Wilaya ya Hanang Meascrow .Asanteni kwa huduma nzuri
 
Jamani Tanesco nashukuru sana sana na Mungu awabariki tayari Tanesco Wilaya ya Hanang wamekuja kukagua na tumeshalipia tayari tangu tarehe 3/7/2020 na kupewa stakabadhi na kuingizwa kwenye system za Tanesco.Yaani nimewapenda bure natoa shukrani zangu za dhati kwa Tanesco.Sasa ningeshukuru kama wangeenda kuunganisha umeme kwani haitaji hata nguzo.Natanguliza shukrani zangu tena .
Jina ni Monica Lazaro
Wilaya ya Hanang Meascrow .Asanteni kwa huduma nzuri
Asante sana utafungiwaaa umeemme mkuu wetu
 
Back
Top Bottom