Ni miezi mingi sasa imepita niliomba kupatiwa huduma ya umeme lakini miundombinu ipo mbali kama mita 70 hv walikuja wataalamu wenu ikaonekana zinatakiwa nguzo mbili moja itashuka mahali njia ilipo na nyingine itafika eneo husika,lakini toka serikali imetangaza kuwa nguzo zinatolewa bure tumekuwa tukisubiri sana kwa kipindi kisicho na manufaa,je kwann msirudishe tu gharama ili mwananchi achangie tu maana imeshakuwa ni kero kila mara kurundikana ofcn kudai huduma na majibu ni yaleyale yasiyoridhisha,