mkandya27
Senior Member
- Oct 26, 2015
- 153
- 30
Tanesco kiukweli kama Taifa bado mpo chini sana kasi yenu ya kuhudumia wananchi haiendani na kasi ya serikali ya awamu ya tano, huwa ninakuja hapa ninaeleza tatizo langu lakini hamlitatui,
Kwa majina naitwa OSCAR MKANDYA JOHN mkazi wa BUCHOSA-SENGEREMA
Mtaa wa Iseni kata ya Nyanzenda, nilishaomba kupatiwa miundo mbinu ya umeme toka mwezi April 2020 sasa ni mwisho wa mwaka hakuna nilichokiona ni vyema mtu mkamueleza kama hawezi kupatiwa huduma akalitambua hilo mapema ni nini afanye, kama miundo mbinu mnasema itamfikia mwananchi pasipo gharama yeyote inakuwa vipi wananchi tunahitaji miundo mbinu hamtupi??? Pengine mseme ni wapi tunaweza kwenda kununua nguzo ili iwe rahisi kwa mwananchi kupata huduma kama zilivyo idara zingine kama maji n.k ninaomba kuwasilisha
Kwa majina naitwa OSCAR MKANDYA JOHN mkazi wa BUCHOSA-SENGEREMA
Mtaa wa Iseni kata ya Nyanzenda, nilishaomba kupatiwa miundo mbinu ya umeme toka mwezi April 2020 sasa ni mwisho wa mwaka hakuna nilichokiona ni vyema mtu mkamueleza kama hawezi kupatiwa huduma akalitambua hilo mapema ni nini afanye, kama miundo mbinu mnasema itamfikia mwananchi pasipo gharama yeyote inakuwa vipi wananchi tunahitaji miundo mbinu hamtupi??? Pengine mseme ni wapi tunaweza kwenda kununua nguzo ili iwe rahisi kwa mwananchi kupata huduma kama zilivyo idara zingine kama maji n.k ninaomba kuwasilisha